Imewekwa: January 17th, 2022
MKUU wa mkoa wa Mbeya, Juma Homera ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Chunya na viongozi wake kwa ujenzi wa miradi ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa kituo cha afya Sangambi.
Homera ametoa pongezi hi...
Imewekwa: January 15th, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Juma Homera ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Chunya kwa kusimamia kikamilifu na kufanikisha Utekelezaji wa Miradi ya Ujenzi wa vyumba vya madarasa inayotekelezwa kupitia ...
Imewekwa: January 4th, 2022
“Kuanzia tarehe 01/07/2022 fedha zote zinazo kusanywa lazima ziende banki alafu zitatumika zikitoka banki lakini ni lazima ziingizwe kwenye mfumo”.
Haya yamesemwa na Mkurugenzi mtendaji wa halmasha...