Imewekwa: October 12th, 2023
Mbunge wa Jimbo la Lupa Mhe Masache Njelu Kasaka amewataka viongozi wa serikali ngazi ya vijiji na kata kuacha mara moja kuwakamata wananchi kwa kuwaonea jambo ambalo sio lengo la serikali ya awamu ya...
Imewekwa: October 10th, 2023
Mbunge wa Jimbo la Lupa Mhe Masache Njelu Kasaka amechangia mifuko mia mbili na thelasini (230) ya Saruji katika kata ya Chalangwa ili kuungana na wananchi kuhakikisha miradi ya maendeleo inakamilika ...
Imewekwa: October 10th, 2023
Halmashauri ya wilaya ya Chunya Chini ya viongozi wake Mahiri imerejea katika nafasi yake ya kwanza katika ukusanyaji wa Mapato mkoani Mbeya kwa kipindi cha Robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2023/2024 ...