Imewekwa: February 15th, 2022
Afisa tawala wa wilaya ya Chunya Bi. Semwano Mlawa kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Chunya amezindua rasmi kampeni ya upandaji miti kiwilaya.
Zoezi hili limefanyika leo Februari 15, 2022 katika ...
Imewekwa: February 13th, 2022
Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Chunya imefanya ziara ya siku nne ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na Halmashauri hiyo.
Kamati hiyo chini ya ...
Imewekwa: January 21st, 2022
PICHANI: Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya Chunya Mh. Bosco Mwanginde Akifungua Kikao Cha Baraza la Madiwani
Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Chunya limepitisha rasimu ya ...