• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

Ufugaji

HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA

IDARA YA MIFUGO NA UVUVI

a) Idadi ya Mifugo

Ufugaji wa wanyama ni miongoni mwa shughuli muhimu za kiuchumi kwa wakazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya. Halmashauri ya Wilaya ya Chunya inakadiliwa kuwa na mifugo 4,229,964 ambapo kati ya hao Ng’ombe ni 327,547, Mbuzi 34,447 ,Kondoo 14,627,Wanyama wengine wanaofugwa ni pamoja na Punda 1787,kuku 143,861, Nguruwe, 2695 na mbwa 5,214.

 

b) Miundombinu ya Mifugo/Uvuvi

Wilaya ina jumla ya Miundombinu ya Mifugo na Uvuvi kama ifuatavyo Majosho Kumi na mawili (120) ambapo kati ya hayo 8 yanamilikiwa na Serikali na 4 yanamilikiwa na watu/vikundi vya wafugaji, Malambo ya maji manne (4),Vibanio vya chanjo viwili(2),Pepea(Windmill) tatu (3), Machinjio ndogo( Slaughter slabs) tatu zilizopo Chunya mjini kata ya Itewe,Makongolosi na kata ya Lupa Tingatinga.

Pia Halmashauri ina jumla ya minada ya mifugo saba (7), mabwawa ya samaki tisa (9)


c) Eneo la Malisho

Wilaya ina jumla ya eneo lililotengwa kwa ajili ya malisho lenye ukubwa wa 1,050,950.2, na kati ya hilo eneo Lililopimwa  ni 533,938.92 na,Lililohuishwa 74499.62, Halmashauri ina jumla ya vijiji 43 na kati ya hivyo Vijiji vilivyofanyiwa matumizi bora ya ardhi ni vijiji 14.


d) Wataalamu wa Mifugo/Uvuvi

Halmashauri ya Wilaya ina jumla ya wataalamu wa Mifugo Kumi na mmoja (11) ambapo kati ya hao watatu (3) wapo makao makuu na wanane (8) wapo katika ngazi ya kata. Lakini pia Halmashauri haina mtaalamu wa Uvuvi.


e) Vyama vya Ushirika

Halmashauri ina jumla ya vyama vya ushirika Kimoja (1) kinachoitwa Hiyari ya Moyo kinachopatikana katika Kata ya Sangambi na kijiji cha Shoga chenye wanachama 54. Chama kinajihusisha na ufugaji wa Ng’ombe wa nyama. 

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.