• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

KIFUATACHO CHUNYA SASA NI KAZI

Imewekwa: January 20th, 2026

Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya kwa Pamoja wamewataka wananchi wa Chunya kuendelea kuwapa ushirikiano katika utekelezaji wa majukumu yao kwani Mafunzo waliyoyapata katika semina elekezi yamepata mwanga wa namna sahihi ya kuwatumikia wananchi waliowaamini na kuwachagua kuongoza kata za Halmashauri ya wilaya ya Chunya kama Madiwani

Madiwani hao wametoa kauli hiyo leo 20.1.2026 baada ya kuhitimisha mafunzo elekezi kwa madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya yaliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Usungilo uliopo jijini.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya Mhe Kelvin Nshinshi aliwataka madiwani wote wa Chunya kutekeleza majukumu yao ipasavyo kwani tayari wamepata uelewa wa namna ya kutekeleza na kusimamia miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao kwani wananchi waliwaamini na waliwachagua kufanyakazi kwa niaba yao.

 “Sasa tumepata mafunzo yanayotuongoza kuwatumikia wananchi waliotuamini katika nafasi za udiwani katika kata zetu, kazi iliyobaki ni kuwatumikia wananchi wa Chunya waliotuamini kwa kazi hii ya Udiwani” Alisema Mhe Nshinshi


Naye Diwani wa kata ya Chokaa Mhe Joshua Mlambalala amesema namna kupitia Semina waliyopatiwa yamewasaidia kutambua vyema majukumu yao, mipaka yao ya utendaji lakini pia yamewasaidia kuwapata dira ya namna ya kuongoza kata zao tofauti na fikra za awali walizokuwa nazo kuhusu nafasi na majukumu ya Diwani katika utekelezaji wa Majukumu

“Kupitia Mafunzo haya sasa nimeelewa kwamba kazi ya Udiwani ni kuwatumikia wananchi ikiwa ni Pamoja na kusimamia miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yetu jambo ambalo awali sikufikiri hivyo wakati wa Kampeni n ahata kabla ya semina hii” Alisema Mhe Mlambalala

Mafunzo elekezi kwa Madiwani wa Halmashauri ya Chunya yametolewa na wataalamu kutoka Ofisi ya waziri Mkuu Pamoja na taasisi nyingine lengo likiwa ni kutoa mwongozo wenye nia ya dhati kwa Madiwani kusimamia utekelezaji wa Miradi katika maeneo wanayotoka bila kuwa na migogoro wala misuguano miongozi mwa wananchi na viongozi wao


Matangazo

  • AJIRA ZA MKATABA KWA WALIMU January 20, 2026
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • KIFUATACHO CHUNYA SASA NI KAZI

    January 20, 2026
  • ‘UZOEFU UWEKWE PEMBENI’

    January 19, 2026
  • AFISA ELIMU MKOA WA MBEYA ATOA NASAA KWA WALIMU CHUNYA.

    January 16, 2026
  • KAMATI ZA UJENZI ZATAMBULIWA CHUNYA: MWENYEKITI ATUMA OMBI POLISI

    January 15, 2026
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.