• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

SHIRIKIANENI KUDHIBITI UPOTEVU WA MAPATO CHUNYA.

Imewekwa: October 30th, 2023

Mkuu wa wilaya ya Chunya Mhe. Mayeka Saimon Mayeka amesema kuwa upotevu wa mapato ni jambo ambalo linarudisha nyuma maendeleo ya Halmashauri hivyo waheshimiwa Madiwani na wataalam mshirikiane katika kudhibiti mianya ya upotevu wa mapato katika vyanzo mbalimbali vya mapato ya Halmashauri ikiwa ni pamoja na kudhibiti utoroshwaji wa madini na vyanzo vingine   ili kuendelea kufanya vizuri zaidi katika ukusanyaji wa mapato kama ambavyo Halmashauri  imekuwa ikifanya vizuri

Hayo yamesemwa  na Mkuu wa Wilaya ya Chunya wakati akitoa salam mwishoni mwa juma katika mkutano wa Madiwani robo ya kwanza uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri  uliohudhuriwa na  wadau mbalimbali   

‘’Vita ya utoroshwaji wa dhahabu bado inaendelea kwa kasi na vita hii  si vita ya mtu mmoja   niwaombe Waheshimiwa Madiwani na wataalam tushirikiane  kudhibiti  utoroshwaji wa dhahabu  kwani unaathiri sana mapato yetu kama  Halmashauri kwa kutukosesha ushuru wa huduma ( sevice levy) kwasababu ya watu wachache wasiokuwa waaminifu”  alisema Mhe. Mayeka

Aidha Mkuu wa Wilaya amesema kuwa  miradi mingi ya Halmashauri inatekelezwa kwa kutumia mapato ya ndani  hivyo jitihada  Zaidi zinzhitajika katika  kudhibiti upotevu wa mapato  ili kuiwezesha  halmashauri  kuendelea kufanya vizuri na  kuongoza  katika ukusanyaji wamapato kimkoa

 ‘’Niwaombe waheshimiwa Madiwani na wataalam twendelee kushirikiana katika Nyanja zote ili kuhakikisha  hakuna mianya yoyote ya upotevu wa mapato ikiwa ni pamoja na   kuangalia mapungufu yaliyojitokeza wakati uliopita na kuyafanyia kazi ili twendelee kufanya vizuri zaidi na zaidi katika ukusanyaji wa mapato’’  alisema Mhe. Mayeka

Nae mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi ndugu Noel Chiwanga wakati akitoa salamu ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Chunya kwa kwendelea kufanya vizuri katika mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na ukusanywaji wa mapato lakini pia usimamizi mzuri wa fedha za serikali ya awamu ya sita chini ya mhe. Rais Samia Suluhu Hassani katika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo.

Mkutano wa baraza la madiwani umehudhuriwa na Mkuu wa wilaya   waheshimiwa Madiwani, Wakuuwa idara mbalimbali katika halmashauri ya wiliya ya Chunya , viongozi wa chama cha Mapinduzi , wadau kutoka taasisi mbalimbali , waandishi wahabari  pamoja na wananchi.

Makam Mwenyekiti  wa halmashauri ya Wilaya ya Chunya Mhe. Ramadhani Shimbi  wapili kutoka kulia akiendelea kuongoza wajumbe wa mkutano wa cha  la madiwani katika kuchangia mada


Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • WAZIRI MCHENGERWA AWATAKA MAAFISA HABARI KUTOA TAARIFA SAHIHI KWA WANANCHI

    May 23, 2025
  • MAMA NA MWANAYE WAKABIDHI DAWATI 41 SHULE YA MSINGI MATWIGA, CHUNYA

    May 19, 2025
  • DC BATENGA, "HAKIKISHENI MNAMILIKI ARDHI"

    May 14, 2025
  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.