Imewekwa: December 12th, 2023
Halmashauri ya wilaya ya Chunya imeendelea kuongoza mkoa wa Mbeya kwenye ukusanyaji wa mapato ambapo kwa sasa imefikia asilimia tisini na nane (98%) ya makusanyo ya mapato kulingana na makadirio yaliy...
Imewekwa: December 10th, 2023
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya ndugu Tamimu Kambona akimwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Chunya amewataka wananchi kushirikiana kwa pamoja kuwafichua watu wanaotenda matendo ya ukat...
Imewekwa: December 8th, 2023
Mkuu wa wilaya ya Chunya Mhe Mayeka S Mayeka amewataka wananchi wa wilaya ya Chunya kutunza vitambulisho vya Taifa walivyovipata kwani vina umuhimu mkubwa kwao ikiwa ni pamoja na utambulisho wa Utaifa...