Imewekwa: February 10th, 2023
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe: Juma Zuberi Homera amesema azma ya serikali ya awamu ya sita ni kuhakikisha Mkoa wa Kimadini Chunya unatoka kwenye uzalishaji wa Dhahabu kilogramu 300 na kufika kilogramu 50...
Imewekwa: February 8th, 2023
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Zuberi Homera amesema serikali inataka wawekezaji wengi waendelee kuwekeza kwenye sekta ya madini ili kuendelea kuleta tija katika uzalishaji wa madini huku akisisitiza...
Imewekwa: February 2nd, 2023
Mkuu wa wilaya ya Chunya Mh. MAYEKA SIMON MAYEKA amewataka wananchi waliojitokeza katika kilele cha maadhimisho ya wiki ya sheria kutofumbia macho kesi za ubakaji na ulawiti kwakuwa zinaathari mbaya k...