• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

MWANGINDE AONGOZA OPARESHENI YA KUTEKETEZA MATANURI YA MKAA.

Imewekwa: April 18th, 2023

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya chunya Mhe. Bosco Mwanginde kwa kushirikia na wakala wa Misitu Tanzania (TFS) wilaya ya chunya, viongozi wa kijiji cha Shogo na Askari wa jeshi la Akiba (Migambo) wamefanya oparesheni ya kuangamiza matanuri ya Mkaa

Oparesheni hiyo imefanyika Jana April 17, 2023 katika kitongoji cha Kambikatoto kilichopo kijiji cha Shoga kata ya Sangambi, jumla ya matanuri 10 ambayo tayari yalikuwa yamepangwa kwa ajili ya kuchoma mkaa yameteketezwa.

Akizungumza wakati wa zoezi hilo Mhe, Mwanginde amesema baraza la madiwan kupitia kikao chake cha robo ya pili waliazimia kuwa ukataji holela wa mkaa wilayani chunya usitishwe kwani unahatarisha kupotea kwa viumbe hai na uharibifu wa mazingira

“Baraza liliazimia kwa kauli moja kwamba sasa ni marufuku kwa mtu Kuchoma mkaa ndani ya wilaya ya chunya bila ya utaratibu” alisema Mhe. Mwanginde

Pia Mwangine amewa taka wananchi wote wa wilaya ya chunya kuacha maramoja shughuli za uchomaji wa mkaa ndani ya wilaya bila ya kuwa na kibali kutoka mamlaka husika.

“Kuanzia sasa ni marufuku mtu kukata miti kwa ajili ya kuchoma mkaa katika maeneo haya hata maeneo mengine bila ya kupata kibali kutoka Ofisi za TFS” alisema Mwanginde

Aidha Mwanginde amewataka viongozi wa wilaya ya chunya kushirikiana kwa pamoja kuhakikisha wanasimamia zoezi hilo kwanguvu zote ili kuokoa na kunusuru mazingira ambayo yanaharibiwa na ukataji holela wa miti kwa ajili yaUchomaji wa Mkaa.

Hili sio zoezi la Mwenyekiti peke yake viongozi wote wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya tuwe tayari kushirikiana na wenzetu wa TFS ili tuweze kutokomeza kabisa ukataji holela wa Miti.


Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.