• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

YAMETIMIA, CHUNYA BINGWA SHIMISEMITA DODOMA 2023

Imewekwa: October 29th, 2023

Timu ya watumishi kutoka Halmashauri ya wilaya ya Chunya imechukua Ubingwa kibabe Mchezo wa kuvuta kamba wanaume baada ya kuwafunga nje ndani wapinzani wake wote bila ajizi wakiwepo Da res salaam (DAR CC) huku wakisema tumelipa deni kwa viongozi wetu kwa namna walivyotujali wakati wa maandalizi, wakati wa safari na hata kipindi chote ambacho timu iliko jijini Dodoma


Wakizungumza kwa shangwe na bashasha chini kapteni wa timu ya wanaume kuvuta kamba wamesema tumekamilisha kulipa Deni kwa viongozi wetu iliyobaki Sasa ni nguvu kwa maandalizi ya msimu ujao yaani mwaka 2024


 “Mwaka huu kuna tofauti kubwa maana mwaka jana tulifungwa na kutolewa hatua ya makundi laki mwaka huu tumetolewa hatua ya 16 bora na hata aliyetutoa anasimulia kwamba nimeitoa timu, kwenye kamba pia kuzishinda halmashauri zaidi ya mia na hamsini sio shughuli ndogo pia tumepata Mchezo wa kirafiki na sHalmashauru ya Singida ambapo umetoka sare ya magori matatu na hii imetokana na mchezo ambao wilaya ya Chunya tumeonesha ikapelekea Singida kuvutiwa nasi na hatimaye kutuomba mechi” Alisema Ridhiwani Mshigati


Kiongozi wa msafara kwa ujumla ambaye ni Mkuu wa idara ya Maendeleo ya jamii wilaya ya Chunya ndugu Vincent Msolla amesema usikuvu, utii na kusikiliza maelekezo tuliyokuwa tunawapatia wachezaji tulipokuwa tunakaa vikao ndio Siri ya mafanikio ya safari yetu hatimaye ubingwa tumeubeba na kufikia hatua mbalimbali za mashindano kwa michezo mingine


“Mchezo wa kuvuta kamba ni mchezo mgumu kuliko watu wanavyofikiri lakini sisi Chunya tulikusudia kuchukua ubingwa huo na tumezoea maana sio mara ya kwanza na kwenye vikao vyetu tulikuwa nasisitizana kwa tunalo deni la kuwalipa kwa mwajili na ni kuchukua makombe tu. Na kwa mikakati tuliyoiweka mwakani tunachukua pia kombe kwenye mpira wa miguu, netball handball maana hata mwaka huu tumeonesha mabadriko makubwa maana hata tulipotolewa kwenye football watu wengine walikuwa wanashangaa kwa kiwango tulichoonesha”


Chunya imeshiriki michezo ifuatayo

 Kuvuta Kamba (Me)   Chunya Bingwa

Kuvuta Kamba (KE)  Chunya Mshindi wa Tatu

Kurusha Tufe                 Chunya Dc Mshindi wa tatu

Mchezo wa Draft Chunya Dc Mshindi wa nne

Mpira wa Miguu Tumetolewa 16 bora

Netball tunetolewa hatua ya makundi

Watu wa kazi wakiwa katika jukumu la kuiheshimisha Halmashauri ya wilaya ya Chunya na Mkoa wa Mbeya kwa ujumla wake huko Dodoma


Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.