• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

LUALAJE WANAKUSHUKURU MHE DKT SAMIA, RAIS WA TANZANIA

Imewekwa: October 25th, 2023

Serikali imeendelea kuboresha miundombinu ya kufundishia na kujifunzia katika kata ya Lualaje iliyopo wilayani Chunya baada ya kutoa fedha shilingi Milioni Mia moja kujenga Nyumba ya walimu (2 in 1) kwaajili ya walimu wanaofundisha  Shule ya Sekondari Lualaje ambayo imefunguliwa Rasmi mwaka huu ambapo mpaka sasa ina wanafunzi 86 wa kidato cha kwanza  na walimu 13 na imegharimu zaidi ya shilingi milioni 480 kukamilika kwake.


Shule hiyo iliyojengwa kwa zaidi ya Shilingi Milioni mia nne na themanini (Milioni mia nne na sabini zimetoka serikali kuu na milioni kumi na moja kutoka Halmashauri ya wilaya ya Chunya) imehusisha ujenzi wa vyumba nane vya madarasa, jengo la utawala, maabara za Kemia, Baolojia, na Fizikia pamoja na matundu ishirini ya vyoo,  mpaka sasa kuna vyumba sita vya madarasa vinasubiri wanafunzi wa kidato cha kwanza 2024  watakaopangwa katika Shule hiyo.


Diwani wa kata ya Lualaje Mhe. Tusalimu Mwaijande kwa niaba ya wananchi wa kata hiyo ameishukuru serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwa namna anavyowajali wananchi wa kata ya Lualaje kwa kukubali kutoa milioni mia nne na sabini (470) ili kukamilisha miundombinu ya shule hiyo na ameshukuru baraza la Madiwani kukubali shule hiyo ijengwa Lualaje na hata Ofisi ya Mkurugenzi kuongezea fedha eneo ambalo mradi ulikwama lakini kuhakikisha shule inapata walimu wa kutosha.


“Kwanza wananchi wa kata ya Lualaje wanaishukuru sana Serikali ya awamu ya sita maana ndani ya uongozi wake Barabara ya Lualaje sasa inapitika mwaka mzima tofauti na ilivyokuwa hapo mwanzo, tumepata shule bora kabisa ya Sekondari kupata kutokea wilayani Chunya na  tuna vyumba vinavyosubiri wanafunzi, lakini bado ametupatia milioni mia moja kujenga Nyumba (2 in 1) kwaajili ya walimu, wananchi wa Lualaje Hatuna cha kumlipa zaidi ya kuendelea kuunga mkono juhudi za serikali kwa kufanya kazi kwa bidii na kusimamia fedha zote zinazoletwa kwenye kata yetu”.


Aidha Mhe Mwaijande amesema tayari wameanza kuzungumza na wadau wengine ili kuanza kujenga Nyumba nyingine ya walimu (2 in 1) ili kuondokana na kero ya makazi kwa watumishi wanaoishi na kufanya kazi kwenye kata hiyo kwani wameshapata zaidi ya milioni sita kutoka kwa wadau tayari kuanza ujenzi wa nyumba hiyo.


“Mwaka huu tumekusudia kujenga nyumba mbili zenye uwezo wa kuhifadhi familia nne tayari hii ya kwanza inakamilika Oktoba 30, lengo letu kila mwaka kujenga nyumba moja yenye uwezo wa kuhifadhi watumishi wawili mpaka tutakapoimaliza kabisa kero ya makazi kwa watumishi walipo katika kata yetu, lakini tunaendelea kuishukuru serikali maana mpaka sasa Lualaje ni ya Kijana, barabara zinapitika, huduma za afya zipo na sasa Sekondari imejengwa watumishi wameanza kuomba kuhamia Lualaje” alisema Mhe Mwaijande.


Kata ya Lualaje ni moja ya kata zilizoko pembezoni mwa wilaya ya Chunya ambapo ni zaidi ya Kilometa 40 kutoka Lupa Tingatinga na kilometa 128 kutoka Mkao makuu ya wilaya hivyo uwepo wa Shule hiyo ya sekondari umesaidia kupunguza umbali kwa wanfunzi kwenda kupata elimu lakini pia uhakika wa kupata elimu umeongezeka maana wanafunzi watapata usimamizi mzuri kutoka kwa wazazi wao na walimu kwa kushirikiana tofauti na ilivyokuwa hapo mwanzo.


Shule ya sekondari Lualaje imekusudiwa kupokea wanafunzi kutoka shule ya Msingi Mwiji. Lualaje na Shule ya Msingi Mpembe ambapo kwa mwaka 2024 inataraji kupokea wanafunzi mia moja na ishirini (120).

Nyumba ya walimu (2 in 1) inayojengwa kata ya Lualaje kwaajili ya walimu wa shule ya sekondari Lualaje

Upande wa nyuma wa Nyumba ya walimu (2 in 1) inayojengwa kwaajili ya walimu wa shule ya sekondari Lualaje iliyopoa kata ya Lualaje

Shule ya Sekondari Lualaje ikionesha miundombinu yote ya shule isipokuwa Nyumba ya Mwali inayojengwa kwaajili ya walimu wanaofundisha katika shule hiyo

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.