• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

Video

  • CHILD SUPPORT TANZANIA YATOA MSAADA WA VITI MWENDO KWA WATOTO WENYEULEMAVU SHULE YA MSINGI KIBAONI.

    September 20th, 2022

    SHIRIKA lisilo la kiserikali la Child Support Tanzania kwa kushirikiana na shirika la Christian Blind Mission wamekabidhi msaada wa baiskeli {Viti Mwendo} 5 za walemavu katika shule ya msingi Kibaoni halmashauri ya wilaya ya Chunya.

    Msaada huo umelenga kuwawezesha wototo wenye ulemavu kuweza kukabiliana na changamoto zinazo wasababisha wasipate Elimu kwa ufasaha.

    Akikabidhi msaada huo leo wenye thamani ya milioni 2.2 Mkurugenzi mtendaji wa Child support Tanzania Bi. Noelah Msuya amesema wao kama shirika wamejikita kuhakikisha watoto wenye ulemavu wanapata elimu katika mfumo wa Elimu jumuishi.

    Amesema nia yao kubwa ni kuhakikisha wanaondoa vikwazo vinavyo wasababisha waototo wenye ulemavu wasipate elimu kwa ufasaha

    “Nia yetu kubwa ni kuhakikisha kuwa watoto wetu wanapata elimu katika mazingira salama na yenye ubora” alisema Bi Noelah Msuya Mkurugenzi mtendaji wa CST.

    Vile vile shirika la Child support Tanzania limekuwa likitoa elimu kwa makundi mbalimbali kuhusu ulinzi na  haki za watoto

    Bi Noelah Msuya amewataka wazazi wanaopata elimu kuhusu haki za watoto kuhakisha wanaeple elimu hiyo kwa jamii ili kuhakikisha watoto wanakuwa katika mazingira salama .

  • Dc Mayeka amefungua mafunzo Rasmi kwa Jeshi la Akiba {Mgambo}

    August 31st, 2022

    Mkuu wa wilaya ya Chunya Mhe. Mayeka S. Mayeka leo amefungua mafunzo ya Mgambo katika tarafa ya kipembawe Kata ya Lupa kijiji cha lupa tingatinga Wilayani humo, jumla ya wana mgambo 84 wameanza  mafunzo, pamoja na mambo mengine watajifunza uzalendo, utawala na usalama wa raia.

  • Mwenyekiti H/shauri ya Chunya ataka Uadilifu Kazini

    August 30th, 2022

    Mkutano wa Baraza la Madiwani kwa Robo ya Nne

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Zaidi

Habari Mpya

  • MHE.BATENGA, UKIMWI BADO UPO TUENDELEE KUCHUKUA TAHADHARI.

    December 01, 2024
  • IDARA MTAMBUKA ZAKUMBUSHWA KUPANGA SHUGHULI ZA LISHE ZENYE KULETA MATOKEA .

    November 29, 2024
  • Shirika la DSW Kuanza kutekeleza Mradi wa REST Wilaya ya Chunya.

    November 22, 2024
  • DC BATENGA: KUTENDA HAKI NA NIDHAMU NDIO SIRI YA KUWA ASKARI BORA WA JESHI LA AKIBA.

    November 21, 2024
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.