• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

ZIARA YA MHESHIMIWA MKUU WA WILAYA YA CHUNYA MH: REHEMA MADUSA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO NA MIUNDOMBINU

Imewekwa: November 28th, 2017

ZIARA YA MHESHIMIWA MKUU WA WILAYA YA CHUNYA MH: REHEMA MADUSA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO NA MIUNDOMBINU.

Mkuu wa wilaya ya Chunya Mh.Rehema Madusa leo tarehe 27/11/2017 alikua katika kijiji cha Lupamarket kata ya Ifumbo katika ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja miundombinu ya shule ikiwepo ujenzi wa nyumba ya walimu katika shule ya msingi Lupamarket. Katika ziara hiyo Mh.Mkuu wa wilaya aliambatana na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Bi. Sophia Kumbuli, Kaimu Afisa Elimu msingi Ndg Labrey Urasa Pamoja na kaimu Afisa Tawala wilaya Ndg.Kaisi

Mheshimiwa Mkuu wa wilaya alikutana Walimu na kamati ya shule ya Msingi Lupamarket ambao walimueleza changamoto wanazokumbana nazo ikiwepo upungufu wa vyumba vya madarasa, Ofisi ya walimu, Nyumba za walimu pamoja upungufu wa walimu. Kuhusu kero hizo Mheshimiwa Mkuu wa wilaya, Mkurugenzi Mtendaji pamoja na Kaimu Afisa Elimu waliahidi kuendelea kuzifanyia kazi Changamoto hizo.

                                                                 

Mwalimu mkuu shule ya Msingi Lupamarket akijibu maswali mbalimbali yaliyokuwa yakiulizwa na Mkuu wa wilaya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wilaya huku akisikilizwa kwa makini na walimu pamoja na kamati ya shule.

             
          Katika ziara hiyo Mkuu wa wilaya alikabidhi bati bando mbili (2) ambazo ni sawa na mabati 32 kwa Mkurugenzi Mtendaji wilaya kwa ajili ya ujenzi ya nyumba ya walimu

                                                                

                       Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya Rehema Madusa (kushoto) akimkabidhi bati Mkurugenzi mtendaji wilaya Bi. Sophia Kumbuli


                                                               

Picha ya Pamoja ya Mheshimiwa Mkuu wa wilaya, Mkurugenzi Mtendaji, Kaimu Afisa Tawala wilaya, Walimu na kamati ya Shule baada ya makabidhiano ya Bati mbele ya Nyumba ya walimu ambayo bado ipo katika ujenzi.


                                                                
Mheshimiwa Rehema Madusa katikati, Mkurugenzi mtendaji Bi. Sophia Kumbuli kushoto wakiteta jambo na Mwalimu Mkuu shule ya msingi Lupamarket.


Katika ziara hiyo Mheshimiwa Mkuu wa wilaya alitoa maagizo yafuatayo:

  • Choo cha walimu kimaliziwe ikiwa ni pamoja na kuwekwa mlango kwa choo cha kiume
  • Serikali ya kijiji kuhakikisha kuna matumizi bora ya ardhi
  • Ndani ya miezi miwili kuanzia leo tarehe 27/11/2017 nyumba ya walimu iwe imekamilika na ifungwe umeme wa jua (Solar energy)
  • Eneo la shule lipimwe. Katika hili alisema eneo la shule linatakiwa liwe na hekta 5 ambazo ni sawa na ekari 10.
  • Kila mwezi kuwe na majitoleo kwa ajili ya kuchangia shughuli za maendeleo
  • Uongozi wa kijiji kuhakikisha mazingira yanatunzwa ikiwepo kuhakikisha hakuna ukataji hovyo wa miti.
  • Afisa Elimu kuhakikisha mbao za kufundishia katika shule ya msingi Lupamarket zinapakwa rangi.


Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.