• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

WAZAZI WAFIKISHWA MAHAKANI KWA KUSHINDWA KUPELEKA WATOTO SEKONDARI.

Imewekwa: January 24th, 2023

Serikali wilayani chunya imeanza kuwachukulia hatua za kisheria wazazi ambao hawajawapeleka watoto kuanza masomo ya sekondari kwa wale waliochaguliwa kujiunga katika shule mbalimbali za sekondari wilayani humo.

Mapema Leo wazazi kumi wamefikishwa mahakama ya mwanzo Makongolosi mbele ya Hakimu Mkazi mfawidhi Vensensia G. Ketapo na Hakimu Mkazi Daniel Gugamu kwa tuhuma za kushindwa kutoa mahitaji muhimu chini ya kifungu namba 167 cha sheria ya kanuni ya adhabu sura ya 16 Marejeo ya mwaka 2022

Watuhumiwa wote kumi ni wakazi wa Kata ya Matundasi mitaa ya Kisimani na Matundasi A wamekiri kutenda kosa Hilo huku sababu mbalimbali zikitajwa kupelekea wao kushindwa kupeleka watoto wao shule kwaajili ya masomo kwa Ngazi ya elimu ya sekondari.

Kwa Mujibu wa Afisa Mtendaji wa Kata ya Matundasi ndugu Mashaka Edom Mwanjunga amesema kabla hawajaanza kuwakamata wazazi ambao hawajawapeleka watoto shule ya sekondari Makalla ni wanafunzi 105 kati ya wanafunzi 228 waliokuwa wameripoti shuleni.

 Ndugu Mwanjunga amesema baaada ya kuwakamata watuhumiwa hao kumi idadi ya wanafunzi kuripoti shule imeongezeka kutoka wanafunzi 105 ijumaa ya tarehe 20/1/2023 na kufikia 152 leo jumanne tarehe 24/1/2023.

Aidha Mwanjunga amesema Zoezi hilo ni endelevu ili kuhakikisha wanafunzi wote 76 ambao bado hawaripoti shule wanaripoti kwani serikali imejenga miundombinu yote inayomuwezesha mwanafunzi kupata Elimu katika shule ya sekondari makalla.

Ikumbukwe hivi karibuni Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mh Mayeka Simon Mayeka aliwaagiza watendaji wa Kata wilayani Chunya kuanza kuwachukulia hatua za kisheria wazazi ambao bado hawajawapeleka wanafunzi shule

Mwenyekiti wa halmashauri ya Wilaya ya Chunya katika Nyakati tofauti tofauti amewataja watendaji kuwachukulia hatua za kisheria wazazi au walezi ambao hawajawapeleka wanafunzi shuleni huku akimwagiza Afisa Elimu sekondari kuhakikisha hakuna michango isiyo ya Lazima ambayo inaweza kuwazuia wazazi kuwapeleka wanafunzi shuleni

Washitakiwa sita (6) wamekidhi vigezo vya dhamana hivyo wapo nje kwa dhamana wakati washitakiwa wane (4) hawajakidhi vigezo vya dhamana hivyo wamerudishwa rumande, kesi hiyo itakuja kwaajili ya kusikilizwa tarehe 3 February 2023.

Baadhi ya wazazi waliofikishwa Mahakamani kwa kushindwa kuwapeleka watoto Sekondari wakitoka katika mahakama ya Mwanzo Makongolosi

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.