• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI WAPATIWA MAFUNZO YA O & OD

Imewekwa: January 4th, 2022

“Kuanzia tarehe 01/07/2022 fedha zote zinazo kusanywa lazima ziende banki alafu zitatumika zikitoka banki lakini ni lazima ziingizwe kwenye mfumo”.

Haya yamesemwa na Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Chunya Ndg Tamim Kambona wakati wa mafunzo ya Mfumo wa fursa na vikwazo kwa Maendeleo {O&OD ulioboreshwa}kwa watendaji wa kata pamoja na watendaji wa vijiji.

Walimu wakuu wanajua swala la mfumo, waganga wafawidhi wanajua na wakuu wa vituo vya Afya wanajua hilo sio swala geni na naimani hata watendaji mtakuwa mnafahamu hilo”.

Aidha Tamim aliongeza kwa kusema lengo la serikali ni kudhibiti mapato, kadri serikali inapoona kuna sehemu maboresho yanataikiwa yafanyike inaendelea kufanya maboresho, kwahiyo hayo yanayofanyika nimaboresho.

Hivyo kwa mwaka unaokuja sasa ni lazima ofisi zetu za kata pamoja na vijiji zitumie mfumo wa FASS, na mimi ningefurahi zaidi Afisa Mipango hata miradi inafaa tuipeleke kwenye ngazi ya chini iyonekane huko.

“sitaki kabisa kukaa na miradi hapa halmashauri tunataka miradi yote inayotekelezwa huko fedha zije moja kwa moja kwenu hilo tumelianza hata kule Sangambi Mtendaji anajua”.

Kwa upande wa Afisa Mipango wa halmashauri ya wilaya ya Chunya ndg Nebert Gavu alisisitiza kuwa ule utaratibu wa kukushanya fedha na kuzitumia sasa utaratibu huo mwisho ni juni 30 mwaka huu.

“zilefedha tulizo kuwa tunakusanya tunaita fedha mbichi Ukisha kusanya unatumia sasa hiyo tabia mwisho wake ni mwaka huuitakapofika tarehe 30 juni,kuanzia tarehe 01julai usifanye hiyo tabia tena kusanya fedha weka kwenye akaunti benki zeni Omba malipo”.

Nao washiriki wa mafunzo hayo kupitia kwa mwenyekiti wao Ndg Gervas Mahella Ameupongeza Uongozi wa halmashauri kwa kuandaa mafunzo hayo kwani yanamanufaa sana kwao.

Tunatoa shukurani zetu za dhati kwa Mkurugenzi mtendaji wa wilaya wakuu wa Idara na wahusika wote walioshiriki kwa namna moja ama nyingine kushauri mafunzo haya ya O&OD kufanyika ilikusudi tuendane na wakati.

“Mifumo ya sasa ni yawakati tupende tusipende hatuweze kupingana na dunia, kila badiliko lazima sisi tuendane nal ilikusudi tuwe sambamba na wengine”. Gervas Mwenyekiti wa watendaji wilaya ya Chunya.

Watendaji wa halmashauri ya wilaya ya Chunya wakiwa katika mafunzo ya O&OD

Watendaji wa halmashauri ya wilaya ya Chunya wakiwa katika mafunzo ya O&OD

Afisa Mipango wa halmashauri ya wilaya ya Chunya Ndg Nebert Gavu Akiwasilisha mada wakati wa mafunzo ya O&OD

Afisa Maendeleo ya Jamii wilaya ya Chunya Ndg Vincent Msolla Akiwasilisha mada wakati wa mafunzo ya O&OD kwa watendaji wa kata na Vijiji

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.