• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

WATALAM NA MADIWANI WAASWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

Imewekwa: December 2nd, 2025

Mwenyekiti wa halmashauri ya Wilaya ya Chunya Mhe. Kelvin Jackson Nshishi amewaasa Madiwani na watalam wa Halmashauri  kufanya kazi kwa weledi na bidii katika kuwatumikia wananchi wa chunya ikiwa ni pamoja na kusimamia miradi ya maendeleo sambamba na kutatua kero mbalimbali  za Wanachunya.

Kauli hiyo ameitoa leo tarehe 2/12/2025 wakati wa kikao cha kwanza cha baraza la madiwani kwa mwaka 2025/2026 kilichofanyika ukumbi wa mikutano wa Sapanjo Halmashauri ya Wilaya ya Chunya.

“Nitoe rai kwa wataalamu wote na waheshimiwa madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya kufanya kazi kwa bidii bila kulegalega huku mkisimamia misingi ya utumishi wa umma kwa kufanya hivyo tutakuwa tunawatendea haki wananchi wetu wa Chunya “. Amesema Mhe.Nshishi

Aidha Mhe. Nshishi na baraza lake ameahidi  kuboresha huduma mbalimbali za kijamii ikiwa ni pamoja na miundombinu ya afya , elimu , kilimo,madini,  na miundo ya barabara ambapo amesema kuwa mitambo ya kutengeneza bararara itakapo kamilika atahakikisha barabara zote zinafunguli  ili kurahisisha shughuli mbalimbali za kiuchumi

Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ndugu Anakleth Michombero ambaye ni katibu tawala Wilaya ya Chunya amewataka waheshimiwa madiwani kwenda kufanya kazi kwani uchaguzi umeshapita kilichobaki na kwenda kufanya mikutano , kusikiliza na kutatua kero za Wananchi na serikali iko bega kwa bega kutoa ushirikiano.

Naye ndugu Noel chiwanga akitoa salam za Chama cha mapinduzi ametao rai kwa madiwani   kuwa watu wahekima na kutoa huduma kwa wananchi wao lakini pia ameendelea kuwasisitiza watalamu wa halmashauri ya Wilaya ya Chunya kutumia utalamu wao kuwahudumia wananchi Ili kuijenga chunya  kimaendeleo.

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya ndugu Tamimu kambona ametoa mrejesho kwa baraza la madiwani kwa yale mambo ambayo waliyaacha hayajakamilikwa kuwa kwa sasa yametekelezwa kwa asilimia mia  sambamabana kuendelea kufanya vizuri katika  kukusanya  mapato.

Mbunge wa Jimbo la Lupa Mhe Masache Njelu Kasaka amesema kuwa jukum kubwa ni kuendelea kukusanya mamapto na kuhakikisha mapato yayo yanakwendenda kutekeleza  miradi mbalimbali ya maendeleo huku akitoa kwa wanachunya kuendelea kuilinda Amani kwani pasipo Amani hakuna maendeleo yanaweza kufanyika hivyo wananchi wote waaswa kwendelea kuilinda na kuidumisha Amani.

Ndugu zangu tunayafanya haya kwasababu tunaamnai, sisi tuliopo hapa twendelea kulinda na  kudumissha Amani, tukapeleke ujumbe kwa watu wengine kuidumisha Amani tukakemee kwa nguvu kubwa , tukatae na kujiepusha na uvunjifu wa Amani kwani bila kuwa na Amani yote tuliyo panga  kuyafanya hayawezi kutimia pasipo kuwa na Amani “ amesema Mhe. Masache

Kikao cha kwanza cha baraza la madiwani kimeenda sambamba na kuapishwa kwa madiwani, kuchagua mwenyekiti na makam mwenyekiti wa Halmashauri pamoja na kupokea taarifa ya  utekeleza wa shughuli mbalimbali zilizottekelezwa kipindi ambacho madiwani hawakuwepo.

Mwenye kiti wa Halmashauri ya WIlaya ya Chunya Mhe.Kelvin Jackson Nshishi akitoa rai kwa watalam na madiwani kufanya kazi kwa weledi wakati wa kikao cha kwanza cha baraza la madiwani kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Sapanjo.


Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi ndugu Noel Chiwanga akiwasisitiza watalam kutumia utalam wao kuwasaidia wananchi

Mbunge wa jimbo la Lupa Mhe. Masache Kasaka akitoa msisitizo kwa wananchi kuilinda na kuidumisha amani  wakati wa kikao cha kwanza cha baraza la madiwani kilichofanyika ukumbi wa Sapanjo.


Waheshimiwa madiwani wakifuatilia hotuba ya mwenyekiti wa Halmashauri wakati wa kikao cha kwanza cha baraza la madiwani



Matangazo

  • KUPIGA KURA YA RAIS KITUO AMBACHO HAUKUJIANDIKISHA September 15, 2025
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • WATALAM NA MADIWANI WAASWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    December 02, 2025
  • CHUNYA KUONGEZA NGUVU MAPAMBANO VVU

    December 01, 2025
  • HAKIKISHENI MASHAMBA YOTE YA SHULE YANALIMWA MSIMU HUU WA MVUA.

    November 27, 2025
  • MILLION 789.500,000 ZA KABIDHIWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU CHUNYA.

    November 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.