• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

"Wataalamu ndio Injini ya Kuleta Maendeleo katika Halmashauri" Bw. Lodrick Mpogolo Katibu tawala Mkoa wa Mbeya

Imewekwa: November 3rd, 2022

KATIBU Tawala Mkoa wa Mbeya Bwa. Lodrick Mpogolo amewataka Watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Chunaya na taasisi za serikali kufuata Taratibu na Miongozo ya Utumishi wa Umma.
Hayo ameyasema Leo November 2, 2022 katika kikao na watumishi kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri {Sapanjo Hall}.
Bwa. Mpogolo amesema kuwa Watumishi wa halmashauri na taasisi za serikali zilizopo wilaya ya Chunya waone umuhimu wa kuzingatia kanuni, taratibu na miongozo ya Utumishi wa Umma ili kila mmoja awajibike katika nafasi yake.
“Kila Mtumishi hapa aone umuhimu wa kufuatilia na kuishi kwa kanuni, taratibu na miongozo ya utumishi wa Umma”.
Aidha Bwa. Mpogolo alitoa rai kwa wataalamu kuhakikisha wanawajibika kwa nafasi zao ili kuleta maendeleo chanya ndani ya wilaya ya chunya
“Wataalamu katika nchi yeyote ndio injini ya maendeleo ya nchi ukitaka kuleta mabadiliko chanya ya wilaya ya chunya watu wa kwanza wa kuchochea maendeleo ni wataalamu na ndio maana ninyimpo hapa” amesema Bwa. Mpogolo
Kama wataalamu ilimuweze kufanya vizuri na kutimiza malengoyenu vizuri ni lazima muwe timu moja, ilituweze kuleta ufanisi katika halmashauri yetu ni kufanya kazi kama timu aliongeza kusema Bwa. Mpogolo.
Kwaupande mwingine Bwa. Mpogolo alisisitiza ukusanya wa mapato kwani bila ya mapato halmashauri haiwezi kujiendesha, ikiwa ni pamoja na kuziba mianya ya upotevu wa mapato kiholela.
“Niwajibu wa kila mmoja kuhakikisha mapato yanaongezeka na sio kupungua kwa kuziba mianya ya kupoteza mapato” alisema Bwa. Mpogolo
Pia alisisitiza kuhakikisha aislimia 10 inapelekwa kwa vikundi vya vijana, wanawake na watu wenye walemavu, sambamba na kusimamia miradi yote inayotekelezwa na Halmashauri.

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.