• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI WAASWA KUZINGATIA MAFUNZO YALIYOTOLEWA.

Imewekwa: September 30th, 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Ndugu Tamim Kambona ameewaasa wasimamizi kuzingatia , kutekeleza na kusimamia Sheria, Kanuni na miongozo yote waliyofundishwa na kuelekezwa kwenye semina elekezi kuelekea uchaguzi wa Serikali za mitaaa unaotaraji kufanyika Novemba 27, 2024.

Hayo ameyasema leo Septemba 30, 2024 katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri  ya wilaya ya Chunya wakati wa semina elekezi kwa wasimamizi  wasaidiziwa uchaguzi  wilaya ya Chunya ikiwa na lengo la kuhakikisha wanatekeleza jukumu la kusimamia Uchaguzi kwa Haki.

 “Maelekezo haya yanayotolewa leo muyachukue na kuyabebe kwa uzito mkubwa kwa kwenda  kuyatekeleza na kuyazingatia yote laliyoelekezwa na Msimamizi wa Uchaguzi kwani Uchaguzi wa serikali za mitaa ni maandalizi kuelekea Uchaguzi Mkuu.” Alisema Kambona.

Afisa TAKUKURU wilaya ya Chunya ndugu Werenifrid Temba amewataka wasimamizi wa uchaguzi kutenda haki na kuto kujihusisha na masuala ya rushwa  kwa kuzingatia maelekezo yoliyotolewa .

“Rushwa ni matumizi mabaya ya mamlaka ambayo umekabidhiwa kuyatekeleza, hivyo ni vizuri kufuata miongozo na taratibu pamoja na yale ambayo mmeelekezwa kwenda kuyafanya  pasipo kujihusisha na vitendo vya rushwa kwa maslahi binafsi” alisema Temba

Naye mwanasheria wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya Wakali Athumani Bamba amewaongoza wasimamizi wa Uchaguzi kutafsiri Sheria, miongozo na Kanuni za Uchaguzi wa Serikali za mitaa kwa mwaka 2024 huku akiwasisitiza mambo mbalimbali ikiwemo taratibu za upigaji kura , kuhesabu kura na kutangaza matokeo pamoja na mambo mengine mengi.

Semina hiyo ya wasimamizi wasaidizi  wa uchaguzi imeenda sambamba nakuapishwa kwa wasimamizi  wasaidizi hao  ambapo Hakimu Mkazi Mkuu wa wilaya ya Chunya Mhe James Juliu Mhanusi amewaongoza  kwenye viapo hivyo ili wakasimamie na kuyatekeleza maelekezo yote yaliyotolewa katika semina hiyo kwa weledi mkubwa kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa.



Afisa Takukuru Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Ndugu Werenfrid Temba  akiwafunza wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi kuto kujihusisha na masuala ya rushwa na kuwasisitiza kutenda haki kwa kutekeleza wajibu wao.

Wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi wakiendelea kufuatilia semina elekezi juu ya mamba mbalimbali  ya kutekeleza kuelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa unaotarajia kufanyika  Novemba 27, 2024.


Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.