• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

WANAFUNZI 643 KATI YA 651 WAMEFAULU KWA DARAJA LA KWANZA NA DARAJA LA PILI CHUNYA

Imewekwa: July 13th, 2024

Halmashauri ya wilaya ya Chunya imeandika rekodi ambayo haijawahi kuwepo katika Historia ya uwepo wa Shule za upili (A Level) kwa kufaulisha wanafunzi wote waliosajiliwa kufanya mtihani mwaka huu 2024 katika mitihani iliyofanyika mapema mwezi May 2024 ambapo wanafunzi 643 wamefaulu kwa daraja la kwanza na daraja la pili huku wanafunzi nane tu wakifaulu kwa daraja la tatu

Juhudi inayo oneshwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika ujenzi wa miundombinu ya Shule katika Halmashauri ya wilaya ya Chunya imeendelea kuzaa matunda kwa wanafunzi wote wa Shule ya Sekondari Kiwanja na Shule ya Sekondari Lupa kufaulu kwa Daraja la kwanza , Daraja la pili na Daraja la tatu tu

Kwa matokeo hayo ni dhahiri kwamba viongozi wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya wanafanya kazi kubwa kuhakikisha wananchi wa wilaya ya Chunya wanapata huduma bora na nzuri katika Nyanja zote ikiwepo Elimu

Ikumbukwe Halmashauri ya wilaya ya Chunya ina shule Mbili tu za Upili (A Level) ambayo ni hule ya Sekondari Kiwanja na Shule ya Sekondari Lupa lakini Halmashauri iko mbioni kuongeza Shule mbili za upili ambazo ni Shule ya Sekondari Sangambi na Shule ya Sekondari Makongolosi

Mchanganuo wa Matokeo ni kwamba Shule ye Sonkdanri Kiwanja ina Daraja la kwanza 269, Daraja la pili 79 na daraja la tatu 4 wakati Shule ya Sekondari Lupa ina daraja la kwanza 190, daraja la pili 106 na daraja la tau ni 04. Katika Shule zote hakuna daraja la nne na daraja sifuli

Kwa undani wa matokeo bonyeza kiunganishi hapo chini


KIWANJA SEKONDARI     https://matokeo.necta.go.tz/results/2024/acsee/results/s1584.htm

LUPA SEKONDARI       https://matokeo.necta.go.tz/results/2024/acsee/results/s0774.htm

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.