• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

WAHUDUMIENI WANANCHI KIZALENDO

Imewekwa: August 11th, 2023

Mkuu wa wilaya ya Chunya Mhe Mayeka S Mayeka amewataka watumishi wa serikali hasa vijana kuwahudumia wananchi wa Tanzania wanaoishi wilayani Chunya Kizalendo maana wana umri mrefu zaidi wa kufanya kazi kuitumikia serikali na wananchi wake kwa ujumla


Mhe Mayeka ametoa kauli hiyo leo tarehe 11/8/2023 alipokuwa akizungumza na wahudumu wa afya wa kituo cha Afya Mafyeko wakati alipoiongoza kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Chunya kukagua miradi Mbalimbali itakayopitiwa na Mwenge wa uhuru unaotarajiwa kukimbizwa wilayani Chunya mapema mwezi Septemba 13 na 14 mwaka huu 2023 huku miradi mbalimbali ikiwepo miradi ya Elimu, Afya, Maji na miradi mingine kupitiwa na mwenge huo


“Fanyeni kazi kwa bidii kuwahudumia wananchi ukizingatia umri wenu bado ni mdogo hivyo mnayo nafasi ya kufanyakazi muda mrefu sana hivyo jitumeni sana kuweni na moyo wa uzalendo kuwahudumia wananchi wa Tanzania wanaoishi wilayani Chunya”


Aidha Mhe Mayeka amewataka watumishi kutoka Makao makuu kuhakikisha miradi inayotekelezwa wilayani Chunya inatekelezwa kwa kiwango sahihi na iendane na thamani ya fedha inayotolewa kinyume na hapo maana yake hatutekelezi majuku yetu ipasavyo.


Awali akitoa taarifa za kituo hicho Mganga mfawidhi wa kituo cha afya Mafyeko Dkt Samwel Macha. Amesema kituo hicho kina wahuduma watatu  wote wakiwa chini ya miaka mitano tangu kuajiriwa lakini na kituo kinahudumia zaidi ya wananchi 400 mpaka 500 kwa mwezi mmoja hivyo azma ya serikali kuwasogezea huduma wananchi imefanikiwa sana


“Kwa mwezi mmoja kituo kiahudumia wagonjwa wan je mia nne mpaka mia tano (400-500) na wakina mama wanaokuja kufungua kadi (Wajawazito) ni wastani wa sitini (60) kwa mwezi na wakati wakinamama wanaokuja kujifungua ni wastani wa wakina mama arobaini mpaka arobaini na tano “40-45” kwa kwezi 


Ziara ya kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Chunya imedumu kwa siku moja na imekagua mradi wa shule ya awali na msingi ya mchepuo wa kiingereza, mradi wa Maji Matundasi, mradi wa zahanati ya Igangwe, kituo cha Afya Mafyeko pamoja na eneo ambalo kutafanyika mkesha wa Mwenge uwanja wa mpira wa Miguu biti Manyanga

Mkuu wa wilaya ya Chunya Mhe Mayeka S Mayeka akiingia kwenye moja ya vyumba vya kutolea huduma katika kituo cha Afya cha Mafyeko wakati alipoongoza kamati ya ulinzi na usalama kukagua miradi ya maendeleo

Mkuu wa wilaya ya Chunya Mhe Mayeka  akisoma orodha ya dawa zilizoletwa katika kituo cha Afya Mafyeko kwaajili ya kuwahudumia wananchi wanaohudumiwa na kituo hicho

Mganga mfawidhi wa kituo cha afya Mafyeko Daktari Samweli Macha(Mwenye shati jeupe) akifafanua jambo mbele ya kamati ya ulizni na usalama ilipotembelea kituo hicho leo

Kamati ya Ulinzi na usalama wilaya ya Chunya Ikikagua mradi wa maji Matundasi

Kamati ya ulinzi na usalama ikishirikiana na baadhi ya watalam kutoka halmashauri ya wilaya ya Chunya wakikagua uwanja utakaotumika kwaajili ya mkesha wa Mwenge wilayani humo

Mkuu wa wilaya ya Chunya Mhe Mayeka (anayezungumza) akitoa mapendekezo ya marekebisho baadhi ya maeneo kwenye uwanja utakaotumika kwaajili ya mkesha wa mwenge mwaka huu 2023



Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.