• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

VIJANA WAIHESHIMISHA CHUNYA KUPITIA MKOPO WA ASILIMIA 10

Imewekwa: October 7th, 2025

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa ndugu Ismail Ally Ussi amefurahishwa na mradi wa zahanati ya Everest unaotokana na mkopo wa asilimia 10%  uliotekelezwa na vijana watano kwani mradi huo umeiheshimisha Halmashauri ya Wilaya ya Chunya kwa kuwa umelenga maono ya serikali na ni mradi wenye tija kwa jamii na vijana hao.

  Kauli hiyo imetolewa na kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa ndugu Ismail Ally Ussi Leo tarehe 7/10/2025 wakati akizindua  mradi huo uliopo kata ta Matundasi Wilaya ya Chunya.

“Miongoni mwa vijana ambao wataweka historia leo katika taifa hili ni pamoja na vijana  hawa watano walionufaika na mkopo  wa asilimia 4% inayotolewa kwa vijana kupitia mkopo wa asilimia 10% kwani  wameiheshimisha Chunya kwakuonyesha uzalendo  ,ukamavu na uahodari  katika kutimiza maono ya serikali ya kuwainua vijana”  amesema Usssi   

Vijana hawa wametupa heshima kubwa kupitia mwenge wa uhuru kwa kazi kubwa waliyoifanya kwasababu wanatambua leo hii miongoni mwa mambo ambayo rais Samia Suluhu Hassan anayafanya ni kuendelea kuibua fursa mbalimbali zinazolenga kutatua changamoto katika jamiiwa ikiwa ni pamoja na vijana.

Mkuu wa Wilaya ya Chunya  Mhe. Mbaraka Alhaj batenga amesema kuwa mikopo hiyo inatolewa kwa watu wote wanaokidhi vigezo na kufuata taratibu huku  kipaumbele ikiwa ni kwenye miradi inayo lenga  kuajiri na watu wengine ili kutatua changamoto ya ajira lakini pia kuinua uchumi kwa mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla.

“Nikuhakikishie kiongozi kwenye Halmashauri yetu bado pesa zipo , tuna million mia nane tunasubiri watu  wengine wakamilishe utaratibu tuwape pesa hizo  kipaumbele ikiwa ni kwenye miradi inayozalisha ajira kwa watu wengini, mikopo ipo tunatoa kwa wazi kwa watu wote “ alisema mhe. Batenga

Akisoma taarifa ya utekelezaji wa mradi huo katibu wa kikundi hicho ndugu  Goodanswer Ntogole  amesema kuwa  lengo la kuanzisha mradi huo ni kwaajili ya kujiajiri wao wenyewe kwaajili ya kujipatia kipato   pamoja na kuisaidia jamii inayowazunguka kwa kutoa  huduma mbalimbali za kitabibu pamoja na kutoa ajira kwa watu wengine.

Mkopo wa asilimia 10% unaolenga wanawake, Vijana na watu wenye ulemavu unatolewa na Halmashauri kupitia mapato yake ya ndani kwaajili ya kuwainua na kuwawezesha wananchi kujikwamua kiuchumi ikiwa ni adhima ya serikari katika kutatua changamoto mbalimbali katika jamii.

Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mhe.Mbaraka Alhaj Batenga akitoa ufafanuzi juu ya mradi huo kwa kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa ndugu Ismail Ally Ussi wakati wa kuzindua zahanati hiyo iliyojengwa kupitia mkopo wa asilimia 10

Katibu wa kikundi cha Upendo (Everest ) akisoma taarifa ya mradi wa Zahanati ya Everest iliyoko Matundasi wakati wa kuzinduliwa mradi huo na kiongozi wa mbio za  mwenge wa uhuru kitaifa ndugu Ismail Ally Ussi.

Kiongozi  wa Mbio za mwenge kitaifa ndugu Ismail Allly Ussi akipokea maelezo kuhusu makundi ya vyakula alipotembelea banda la lishe wakati wa uzinduzi wa Zahanati ya Everst katika kata ya Matundasi

Matangazo

  • KUPIGA KURA YA RAIS KITUO AMBACHO HAUKUJIANDIKISHA September 15, 2025
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • VIJANA WAIHESHIMISHA CHUNYA KUPITIA MKOPO WA ASILIMIA 10

    October 07, 2025
  • WAKULIMA CHUNYA WANUFAIKA NA ELIMU YA MATUMIZI SAHIHI YA MBOLEA.

    October 04, 2025
  • UANDAAJI MPANGO WA BAJETI WAWANUFAISHA WATAALAMU CHUNYA DC.

    October 01, 2025
  • WATAALAMU CHUNYA DC WAONGEZEWA UWEZO UANDAAJI MPANGO WA BAJETI.

    September 30, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.