• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

UZINDUZI WA JUKWAA LA WANAWAKE WILAYA YA CHUNYA

Imewekwa: November 17th, 2017

UZINDUZI WA JUKWAA LA WANAWAKE WILAYA YA CHUNYA.

Siku ya tarehe 15/11/2017 ilikua ni siku maalum ya uzinduzi wa jukwaa la wanawake katika wilaya ya chunya, ambapo mgeni rasmi katika uzinduzi huo alikuwa ni mkuu wa wilaya ya chunya Bi. Rehema Madusa akiambatana na Mkurugenzi Mtendaji wa H/w chunya Bi Sophia Kumbuli, mbali na uzinduzi wa jukwaa hilo pia kulikua na uzinduzi wa Tovuti ya Saccos ya wilaya Pamoja na uchaguzi wa viongozi wa jukwaa la akinamama wilaya ambapo Mwenyekiti wa jukwaa la akinamama wilaya aliyechaguliwa ni Bi. Esther Mpanja na katibu wake ni Bi salome Donatus. Mkurugenzi Mtendaji pia alipata fursa ya kuongea na akina mama na kuwatangazia kuwa Halmashauri ipo pamoja nao na kwamba zaidi ya Tsh. Mil 100 zimetengwa na Halmashauri kwa ajili ya kuwakopesha akina mama na vijana.

Pia katika uzinduzi huo Mwenyekiti wa Saccos wa wilaya alitangaza kuwa wana mtaji wa jumla ya Tsh. Bil 3.4 ambapo mkuu wa wilaya aliwashauri kuwa wanaweza kufungua Benki yao na kuweza kukopeshana wao kwa wao pamoja na wananchi kwa riba ndogo.

Shughuli hiyo iliratibiwa na Idara ya Maendeleo ya jamii ya Halmashauri ya Wilaya ya Chunya.

                                                                
Mgeni Rasmi wa katika uzinduzi wa Jukwaa la wanawake Chunya Mkuu wa Wilaya ya Mh.Rehema Madusa(mwenye kilemba chekundu) akiingia ukumbini, kushoto kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa H/W Chunya Bi. Sophia Kumbuli

                                                               

Mkurugenzi Mtendaji wa H/W Chunya Bi. Sophia Kumbuli akiongea na Jukwaa la Wanawake, kushoto kwake ni mratibu wa shughuli hiyo Ndg. David Ngowo


                                                                

Afisa Maendeleo ya Jamii (w) Bi.Esther Mwakalile (katikati) akiongea na Jukwaa la Wanawake, 

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.