• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

USAFI AGENDA YA KUDUM CHUNYA.

Imewekwa: July 11th, 2023


Afisa afya na mazingira kutoka wizara ya afya Ndugu Ramadhani Bofu amemtaka  Afisa Afya wa Hospital ya Wilaya kuhakikisa anawajengea uwezo wataalam mbalimbali wanaohusika na usafi wa mazingira hospitali ya wilaya chunya  ili kuhakikisha mazingira ya Hospital yanakuwa safi na salama kila wakati

Maagizo hayo aliyatoa jana julai 10,2023 wakati alipokagua zoezi la usafi wa mazingira ikiwa ni utekelezaji wa kampeni ya kitaifa ya Mashindano ya usafi wa mazingira yanayofanyika kila mwaka ili kuhamasisha nakuhakikisha mazingira yanakuwa safi na salama ili kuwasaidia wananchi kujikinga na kujiepushana maradhi mbalimbali yanayoweza kusababishwa na uchafu wa mazingira.

‘’Hakisha unajiwekea utaratibu wa  kuwajengea uwezo wataalamu mbalimbali wanaohusika na usafi wa mazingira angalau kila baadaya miezi mitatu (3) ikiwa ni pamoja na kutembelea vifaa vya kuhifadhia taka mara kwa mara kuona kama zinahifadhiwa kwa usahihi na zinateketezwa katika eneo maalumu lililotengwa kulingana na aina ya taka hizo na kuhakikisha kila aina ya taka inawekwa  katika chombo husika cha kuhifadhia taka hizo nazile za kutupwa katika shimo la taka  zitupwe katika shimo

Awali akitoa taarifa fupi ya usafi wa Mazingira afisa afya wa kata ya itewe Ndugu Moses Katamba amesema kuwa usafi wa mazingira ni Agenda ya kudumu na wamekuwa wakihamasisha wananchi kufanya usafi wa mazingira yanayowazunguka kila jumamosi  lakini pia wameendelea kuhamasisha ujenzi wa vyoo bora na kuhakikisha kila kaya inakuwa na ndoo yenye maji safi kwaajili ya kunawa mikono  mtu anapotoka chooni, shimo la taka pamoja na vichanja.

‘’Tumejiwekea sheria ndogondogo  ikiwemo faini ya Tsh 5000 hadi Tsh 50,000 ambazo hutozwa  watu wanaokaidi kufuata maagizo ya kuweka mazingira yao katika hali ya usafi  na salama na wakati mwingine tumekuwa tukiwafikisha mahakamani, lengo ni kuweka mazingira safi na salama kwa afya zetu lakini pia kujikinga na magonjwa ya mlipuko yanayoweza kusababishwa na uchafu wa mazigira’’

Katika nafasi nyingine Ndugu Ramadhani Bofu ametoa ushauri kwa uongozi wa shule ya msingi Chunya kati kuhakikisha wanakuwa na mpango endelevu wa kuhakisha mazingira yanakuwa katika hali ya ubora  kwa kutenga bajeti itakayokuwa inawasaidia kutatua changamoto ndogondogo na kuacha kusubiri mpaka fedha za mfadhili amewataka pia kuhakikisha wanaeka milango katika kila chookwa   vyoo vichache ambovyo vinatumia mlangommoja  ili kuzingatia usiri wa mwanafunzi anapokuwa chooni.

‘’Ni vuzuri kuwa na mpango endelevu wa kuhakikisha mazingira na miundombinu inakuwa katika hali ya ubora wakati wote kwa kutenga bajeti itakayo kuwa inawasaidia kutatua changomoto ndogondogo za miundombinu inapokuwa imeharibika kwa wakati na kuacha kusubiria mpaka fedha za mafadhili ‘’

Firdaws Hamidu mwanafunzi wa  darasa la sita (vi B) shule ya msingi Chunya kati  ni miongoni mwanafunzi waliopo katika klabu ya usafi wa mazingira mashuleni ( school water Sanitation and hygiene club) ameeleza mambo mbalimbali wanayojifunza kwenye klabu hiyo ikiwa ni pamoja na kuhamasisha wanafunzi wenzao  kuzingatia usafi wao binafsi wanapokuwa shuleni na majumbani kwa kuweka safi mazingira yanayowazunguka na kunawa mikono mara kwa mara ili kujikinga na magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu.

Zezi la ukaguzi wa usafi wa mazingira limefanyika katika maeneo mbalimbali ya hospitali ya wilaya ikiwemo maeneo yakuhifadhia taka,mitambo mbalimbali, mindombinu ya maji,  vyoo na maeneo yote kwa ujumla ,zoezi hilo liliendelea pia  katika kata ya Itewe ambapo ilifanyika katika vijiji  viwili (2) ambovyo ni  Chunya Mjini na Sinjilili katika kaya mbalimbali, makanisa,  na mahakamaya mwanzo. Zoezi hilo lilihusisha    wataalam mbalimbali akiwemo  kaimu afisa afya na Mazingira kutoka Mkoani Ndugu David Mwakasege ,Afisa afya wa wilaya Ndugu Baraka Kipesha,afisa afya kata itewe Moses katamba na  maafisa  mbalimbali katika ngazi za vijiji.

Afisa afya na mazingira ndugu Ramadhani Bofu (alievaa shati la kitenge) kutoka wizara ya afya akikagua shimo la taka la hospitali ya wilaya ya chunya

Afisa afya na mazingira kutoka wizara ya Afya akitoa maelekezo ya kurekebisha bomba la maji  kwa afisa afyaa wa   wilaya  ndugu Baraka Kapesha


Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.