• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

KIKAO-KAZI KUHUSU UKARABATI WA VITUO VYA AFYA KWA AJILI YA UTOAJI WA HUDUMA ZA “CEMONC” 29/01/2018

Imewekwa: February 3rd, 2018

Mkurugenzi Mtendaji  H/W Chunya Bi. Sophia Kumbuli akichangia hoja katika kikao hicho, Mbele yake ni M/kiti wa Halmashauri ya Chunya Mh. Bosco Mwanginde akisikiliza kwa makini.


Mbeya.

OR-TAMISEMI Kupitia fedha za wadau wa Maendeleo inatekeleza miradi ya ukarabati wa vituo vya Afya nchini kwa ajili ya
kuviwezesha kutoa huduma za uzazi za dharura (CEMONC). Awamu ya kwanza ya ukarabati ilianza mwezi Oktoba 2017 ambayo
ilihusisha vituo vya afya 44 katika Halmashauri 43 na kati ya vituo hivyo Mkoa wa Mbeya ulikuwa na vituo vya afya viwili
ambavyo ni “Kituo cha afya Ipinda (Kyela)”  na “Kituo cha afya Ikuti ( Rungwe)”

Katika kutekeleza Miradi hiyo utaratibu wa “Force Account” umekubalika kutumika ambapo Halamshauri husika kwa kushirikiana
na Secretariet ya  Mkoa wanapaswa kusimamia kwa ukaribu kazi zinazofanyika katika maeneo ya miradi ili kuhakikisha
kunakuwa na ubora katika vituo vilivyokarabatiwa/kujengwa

Awamu ya pili ya utekelezaji wa mradi imeanza tarege 02/01/2018 na inatarajiwa kukamilika 30/04/2018. Mkoa wa Mbeya
umekwisha pokea  fedha  jumla ya Shilingi 3,000,000,000.00(Bilioni tatu) kwa ajili ya ukarabati/Ujenzi wa vituo vya Afya
sita katika Halmashauri za Chunya (1), Mbeya DC(3 ) na  Busokelo (1),

Katika kutekeleza hili, Halmashauri Wilaya  ya Chunya imeshaanza ujenzi wa zahanati katika kijiji cha Chalangwa kata ya
Chalangawa.

Zifuatazo baadhi ya picha zikionesha hatua mbalimbali zilizofikiwa katika ujenzi huo katika Halmashauri ya wilaya ya
Chunya

                                                                            

                                                                            

                                                                            

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.