• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

SUALA LA LISHE CHUNYA NI LAZIMA

Imewekwa: May 3rd, 2023

Zaidi ya asilimia 80 ya shule za msingi na sekondari wilayani Chunya zinatoa Chakula Cha Mchana kwa wanafunzi ikiwa ni mkakati wa kuhakikisha suala la lishe linazingatiwa wilayani Chunya huku asilimia zilizosalia kukakamilika ifikapo Julai 2023.

Akitoa taarifa za utekelezaji wa Afua za lishe kwenye kikao cha Lishe wilaya ya Chunya Kaimu Afisa Lishe Bi. Witness Kisukulu, amesema Chunya sasa asilimia 85 ya shule zote wilayani Chunya Hutoa Chakula ambapo kupitia kikao hicho kilichoongozwa na Afisa Utumishi wa wilaya ya Bw John F. Mohalani akimuwakilisha Mkurugenzi mtendaji, Wameazimia ifikapo Julai mwaka huu wilaya ifikishe asilimia 100 katika utoaji wa Chakula shuleni

Katika kufikia kiwango cha asilimia mia moja sheria ndogo ndogo za halmashauri zipo katika hatua mbalimbali za maandalizi ambazo zitatumika kuwabana wazazi ambao hawatatoa ushirikiano kuchangia chakula ili wanafunzi wawapo shuleni wapate chakula cha Mchana

Aidha Katibu wa kikao hicho ambaye ni Mganga Mkuu wa wilaya ya Chunya Dr. Darison Andrew amewaomba wajumbe wa kikao hicho kuongeza juhudi sana katika kusimamia suala la lishe ambapo amesema gharama za kumhudumia moto mwenye utapiamlo ni kubwa sana huku akiwaahidi kuhakikisha usafiri unapatikana ili kuwafikia wananchi wote wa wilaya ya CHUNYA

Kikao hicho cha Robo ya tatu ya mwaka 2022/2023 kimeketi leo Tarehe 3, 2022 katika ukumbi wa mikutano uliopo jengo jipya la utawala kimeongozwa na Afisa utumishi wa wilaya ya Chunya Bw JOHN F. Maholani akimuwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wilaya ya Chunya Ndugu, Tamimu Kambona

Katibu wa kikao cha Lishe ambaye ni Mganga Mkuu wa wilaya Dr Darison Andrew akifafanua jambo kwa Wajumbe wa Kikao 

Mwenyekiti wa Kikao cha Lishe wilaya ya Chunya Bw. John Maholani akihitimisha kikao hicho na kuwataka wajumbe kutekeleza makubaliano ya kikao

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.