• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

TATHIMINI YA MAZINGIRA IZINGATIWE

Imewekwa: January 20th, 2024

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Mhe. Suleiman Jafo, ameagiza mwekezaji yeyote asiruhusiwe kufanya Uchimbaji wa madini ndani ya Mto Zira mpaka pale wataalamu watakapo jiridhisha utunzaji wa Mazingira.

Mhe. Jafo ametoa kauli hiyo jana January 19, 2024 baada ya kufanya ziara ya kutembelea na kukagua kampuni ya G & I inayofanya shughuli za Ujichambaji wa madini katika Mto Zira unaopita kata ya Ifumbo kuelekea ziwa Rukwa

 “Hawa wawekezaji wote hakuna mtu atakaye ruhusiwa kufanya uchimbaji humu lazima kwanza wataalamu wangu wa Mazingira wajiridhishe, kwamba wajiridhishe hilo jambo linawekezekana vipi na kuhakikisha mazingira yanalindwa”.

Mhe. Jafo amesema wawekezaji wote walipo kwenye ukanda wa Mto Zira wahakikishe wana kamilisha tathimini ya uharibifu wa Mazingira na amewataka Wataalamu tota ofisi yake kuhakikisha hiyo tathimini ya mazingira iwe na masharti mahususi yatakayo ainisha nini mwekezaji anapaswa kufanya

Pia Mhe. Jafo aliongeza kusema hatarajii kuona uchakataji wa madini unafanyika ndani ya Mto, shughuli zote zifanyike nje ya Mto na wataalamu waainisha ni umbali gani inafaa shughuli hizo kutafanyika

“Uchakataji wote akichukua Mchanga ufanyike nje ya Mto mtasema nyinyi ni umbali kiasi gani nyinyi ndio wataalamu, kwasababu kuna dhahabu nyingi na ni utajiri mkubwa hatuwezi tukaiacha hiyo dhahabu” Alisema Mhe. Jafo

Wakati huo huo, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Z. Homera amesema ana amini kwenye teknolojia kwani tukiwekeza kwenye teknolojia tunaweza kuchimba dhahabu na maji yasichafuke lakini pia tutaepuka madhara yanaweza kujitokeza kutokana na kemikali zinazotumika wakati wa Uchenjuaji

“Tukienda kwenye Nchi za wenzetu huko wanateknolojia nyingi sana maji yanaweza yasichafuke na watu dhahabu wakaondoka nayo, kitu kikubwa nacho sisitiza hapa huyu mwekezaji awekeze kwenye teknolojia ili madini yaweze kutoka kwa maslahi mapana ya Nchi yetu” alisema Mhe. Homera

Katika ziara hiyo Mhe  Jafo ametembelea kiwanda cha kuchenjua Dhahabu cha Anglo De Beers kilichopo kitongoji cha mwaoga kata ya Makongolosi wilayani Chunya na amewapongeza wawekezaji wa kiwanda hicho kwa uwekezaji mkubwa na kutengeneza ajira kwa watanzania.

  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Mhe. Suleiman Jafo, kulia kwake ni Mkuu wa wilaya ya Chunya Mhe Mbaraka Alhaji Batenga na Kushoto kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Juma Z Homera wakiwa wanakagua uwekezaji kwenye uchimbaji wa dhahabu wilayani Chunya

Mkuu wa wilaya ya Chunya Mhe Mbaraka Alhaji Batenga aliyesimama akitoa taarifa Mbele ya Waziri Jaffo(Hayupo pichani) wakati alipotembelea wilaya ya Chunya


Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.