• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

TAMISEMI YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO CHUNYA

Imewekwa: May 18th, 2022

WATAALAM toka Wizara ya Nchi Ofisi  ya Rais Tamisemi kwa kushirikiana na wataalamu toka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya sambamba na wataalam kutoka Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Chunya, wamefanya ukaguzi wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali katika Halmashauri ya Wilaya ya Chunya.

Dkt. Sonda Shabaan ambaye ni Msimamizi wa miradi ya afya kota Tamisemi ametoa pongezi kwa uongozi wa halmashauri kwa usimamizi mzuri wa miradi inayotekelezwa Wilayani hapa.

“Tunawashukuru kwa usimamizi wa miradi, usimamizi mzuri ‘technical issues’ (masuala ya kiufundi) ni chache sana ukilinganisha na maeneo mengine tumepita,” alisema Sonda.

Aidha alipongeza ubora wa majengo, ushirikiano baina yao na usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo.   

Pia Dkt. Sonda ameutaka uongozi wa halmashauri kuhakikisha unatatua changamoto zote zinazojitokeza kwenye miradi hiyo ikiwemo changamoto ya upatikanaji wa maji ili miradi hiyo inapokamilika wananchi waweze kufaidi huduma hiyo ya muhimu kwa jamii.

“Kituo hiki cha Mafyeko na kile cha Kambikatoto muanze kuangalia taratibu za kupata maji pamoja na umeme mapema kabisa, wananchi wamehamasika, wamechangia fedha, tukikaa muda mrefu kituo kimekamilika na hakitoi huduma itakuwa shida,” alisema Sonda.

Sambamba na hayo wataalamu toka Tamisemi wamewataka halmashauri kuongeza kasi ya ujenzi ili miradi yote ikamilike kwa wakati hasa kwenye ujenzi wa jengo la dharula katika hospitali ya wilaya.

Miradi iliyotembelewa na kukaguliwa na wataalam hao ni miradi ya sekta ya Afya ambapo walitembelea kituo cha afya Kambikatoto, Mafyeko na Ujenzi wa majengo unaoendelea katika Hospitali ya wilaya pamoja na Ujenzi wa jengo la Utawala.

Ujenzi wa jengo la Utawala halmashauri ya wilaya ya chunya

Wataalamu toka OR TAMISEMI, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa pamoja na Wataalamu toka Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji halmashauri ya wilaya ya chunya wakikagua ujenzi wa jengo la Utawala.

Ujenzi wa Jengo la Dharula katika hospitali ya wilaya

Ujenzi wa kituo cha Afya kambikatoto

Wataalamu wakikagua ujenzi wa Nyumba ya Mganga 3 in 1 Katika kituo cha afya cha Kambikatoto

Wataalamu Toka OR Tamisemi, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa sambamba na wataalamu toka Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya wilaya ya Chunya wakikagua ujenzi wa jengo la OPD katika kituo cha afya Mafyeko

Ujenzi wa kituo cha afya Mafyeko

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.