• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

RC HOMERA “SIKU SABA UWE UMEWAKAMATA WEZI WA MAHINDI LUPA”

Imewekwa: June 15th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Juma Zuberi Homera amemwagiza Mkuu wa polisi wilaya ya Chunya (OCD) kuhakikisha anawakamata na kuwafikisha kwenye vyombo vya kisheria watu wote wanaotuhumiwa kuiba mahindi ya wananchi katika kata ya Lupa pamoja na vibaka wote wanaotajwa kusumbua wananchi maeneo mbalimbali wilayani Chunya

Mhe Homera ametoa maagizo hayo alipokuwa anazungumza na wananchi katika mkutano wa Hadhara uliofanyika Juni 14, 2023 katika viwanja vya ofisi ya serikali ya kijiji cha Itewe kilichopo  kata ya Itewe wilyani Chunya ikiwa ni kuhitimisha ziara yake aliyoifanya ya kutembelea ujenzi wa Daharia (Bweni) ya wasichana shule ya sekondari Itewe inayojengwa kwa kushirikiana na wananchi, ofisi ya mkurugenzi, wadau, ofisi ya mbunge pamoja na Mfadhiri COCOA FOR SCHOOLS ambaye atakamilisha jengo hilo pamoja na kuweka vifaa vya ndani ambavyo ni vitanda na magodoro

“Mkuu wa polisi nakuagiza ndani ya siku saba (7) wahalifu wote walioiba mahindi wawe wamekamatwa na kufikishwa katika vyombo vya  sheria’’ alisema mhe. Homera.

Aidha Mhe. Homera alimwagiza mkandarasi aliyepewa kujenga mradi wa maji wilayani Chunya utakaogharimu kiasi cha Shilingi bilioni kumi na moja (11) kuripoti ofisini kwake ndani ya siku saba (7) ili kupata ushauri wa kitaalamu kutoka kwa wahandisi wa maji walioko ofisi ya Mkuu wa Mkoa jambo litakalopelekea kupata chanzo sahihi cha Maji wilayani Chunya ili kuondoka na adha ya maji kwa wananchi wa Chunya Mjini

“Natoa siku saba Mkandarasi huyu awe ameripoti ofisini kwangu, maana haiwezekana mkandarasi anakuja kutekeleza mradi mkoani kwetu alafu hajariporiti ofisini kwetu, na asiporipoti ofisi kwangu nitamwandikia Mhe Rais Barua ya kutokuwa na Imani na Mkandarasi huyo hivyo hawezi kutekeleza” alisema Mhe. Homera

Diwani  mwenyeji wa kata ya itewe Mhe.  Alex Kinyamagoha aliwashukuru na kuwapongeza viongozi na wananchi kwa ujenzi wa daharia (Bwenia) hiyo na kuwaomba wananchi kuendelea  kuwa na  utayari wa kuchangia kunapo kuwa na miradi ya maendeleo na kuongeza kuwa chunya kwa sasa inapendeza kutokana  na kuwepo kwa taa za barabarani

Baadhi ya wananchi walitoa kero zinazowakabili ikiwa ni pamoja na changamoto ya maji wa kilalamikia mabomba kutokutoa maji kwa muda mrefu, wazee wa mila kusahaurika,kukosekana kwa maji na umeme katika soka la  kijiji cha itewe lakini pia uwepo wa wezi ambao wamekuwa wakiwaiibia   watu  wanapokuwa katika shughuli zao zakila siku.

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • WAZIRI MCHENGERWA AWATAKA MAAFISA HABARI KUTOA TAARIFA SAHIHI KWA WANANCHI

    May 23, 2025
  • MAMA NA MWANAYE WAKABIDHI DAWATI 41 SHULE YA MSINGI MATWIGA, CHUNYA

    May 19, 2025
  • DC BATENGA, "HAKIKISHENI MNAMILIKI ARDHI"

    May 14, 2025
  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.