• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

RC CHONGOLO, MAONESHO YA NANENANE NI KWAAJILI YA KUJIFUNZA.

Imewekwa: August 6th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Daniel Chongolo  amesema lengo la kutembelea Maonesho ya nanenane ni pamoja na kujionea na kujifunza namna ambavyo teknolojia  inafanya kazi katika sekta ya kilimo na mifugo  na kuweza kuleta tija kwa wakulima na wafugaji katika uzalishaji kwajili ya kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla.

Mhe. Chongolo ameyasema hayo alipotembelea banda la Halmashauri ya Wilaya ya Chunya kwaajili ya kujione na kujifunza mambo mbalimbali yanayopatikana katika banda hilo kwenye maonesho ya Nanenene Nyanda za juu kusini katika viwanja vya John Mwakangale Mkoa wa Mbeya.

“Kwenye maonyesho haya sisi tunapita kwanza kujifunza lakini pia kujionea namna ambavyo teknologia iliyoboreshwa inavyoendelea kufanya kazi kwenye maeneo ya kilimo , uvuvi na ufugaji kwaajili ya kuongeza tija kwa wananchi”ameseme Chongolo

Aidha Mhe .Chongolo ametembelea na kujionea bidhaa mbalimbali za kilimo ikiwa ni pamoja na mbegu za mazao mbalimbali, mazao ya misitu ikiwemo asali, masalia ya wanyama pori  kama vile Ngozi ya Mamba, fuvu la kichwa cha Tembo, viatu vya ngozi pamoja na makundi mbalimbali ya vyakula na vichangamshi kwaajili ya watoto na mambo mengine mengi.

Halmashauri ya wilaya ya Chunya imeungana na Halmashauri nyingine za mikoa ya Nyanda za Juu kusini (Iringa, Njombe, Mbeya, Rukwa Songwe na Katavi) katika sherehe za Maonesho ya nanenane mwaka 2024 huku kauli mbiu ya maonesho hayo ikiwa ni “Chagua viongozi bora wa Serikali za Mitaa kwa Maendeleo ya kilimo na Mifugo”

Afisa wanyamapori bi Simphrose Kavishe kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Chunya akielezea kuhusu  ngozi ya Mamba kwa Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe.Daniel Chongolo alipotembelea Banda la Halmashauri ya Wilaya ya Chunya katika maonyenye ya nane nane Nyanda za juu Kusini yanayoendelea katika viwanja vya John Mwakangale Mkoani Mbeya.

Afisa Misitu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Chunya bi Rehema Mwabulambo akielezea mazao mbalimbali ya misitu ikiwemo zao la asali kwa Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe.Daniel Chongolo wakati alipotembelea Banda la Halmashauri ya Wilaya ya Chunya kwenye maonesho ya nane nane Nyanda za juu kusini.

Afisa lishe wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya bi Rehema Hiluka akielezea juu  umuhimu wa vichangamshi kwa wototo pamoja na makundi ya vyakula kwa Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Daniel Chongolo wakati alipotembelea banda la Halmashauri ya Wilaya ya Chunya kwenye maonesho ya nane nane Nyanda za juu kusini Mkoani mbeya.

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mh. Daniel Chongolo akipata melezo kutoka kwa Afisa kilimo kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Chunya ndugu Lameck Matukuru juu ya mazao mbalimbali  yaliyopo  kwenye maonyesho wakati alipotembelea Banda la Halmashauri ya Wilaya ya Chunya kwenye maonyesho ya nane nane katika viwanja vya John Mwakangale Mkoani Mbeya.





Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.