• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

MKAWE MABALOZI WA MFUMO WA SIS KWA WALIMU WENGINE.

Imewekwa: January 14th, 2026

Afisa tawala Wilaya ya Chunya Bi Semwano Mlawa amewataka walimu wakuu, wakuu wa shule , walimu wa takwimu na walimu wa Tehama walioshiriki mafunzo  ya  mfumo wa ukusanyaji taarifa Shuleni   School Information System  (SIS) kwenda kuwa mabalozi wa mfumo huo kwa walimu wengine   ili kurahisisha utekelezaji wa majukum yao   lakini pia kuendana na kasi ya teknolojia  ya sasa inayotumia mifumo mbalimbali ya kidigitali

Kauli hiyo ameizungumza leo tarehe 14/01/2025 wakati akifungua mafunzo ya   mfumo wa ukusanyaji taarifa Shuleni (SIS)  yaliofanyika katika Ukumbi wa mikutano wa Sapanjo Halmashauri ya Wilaya ya Chunya.

“ Kwadunia ya sasa kwa namna yoyote ile hatuwezi kuepukana na masuala ya mifumo  tutake tusitake mifumo  ipo  na itaendelea kuwepo kwasababu kizazi tunachoendelea nacho ni kizazi cha tofauti, kuna mifumo mingi sana kwahiyo ni lazima tuendane na mifumo ya kidunia inavyoenda, hivyo walimu mliohudhuria mafunzo haya mkawe mabalozi kwa walimu wengine Shuleni  mnakotoka” amesema Bi Semwano

Aidha ameongeza kuwa mfumo huu utasaidia kurahisisha ukusanyaji wa taarifa kwa ujumla kwa wanafunzi na walimu hivyo kumuwezesha mwalimu kutekeleza majukumu mengi kwa wakati mfupi na kwa urahisi Zaidi kwa kutumia mfumo kukusanya taarifa za Walimu na wnafunzi.

Afisa elimu vifaaa na takwimu  Msingi  Mwl Gerald Shitindi amesema kuwa lengo la mafunzo hayo ni kuwawezesha walimu kuujua mfumo wa ukusanyaji taarifa Shuleni   School Information system ( SIS)   na kwenda kuutumia kwaajili ya kuingiza taarifa mbalimbali za  walimu na wanafunzi kwa Shule za Msingi na Sekondari ikiwa ni pamoja na mahudhurio, ratiba za vipindi, uhamisho na taarifa zingine.

Wakizungumza kwa niaba ya walimu wengine  Mwl.Atanasi Mwakapelila na Mwl Levetina Mbilinyi wamesema kuwa mfumo wa  ukusanyaji taarifa Shuleni unarahisisha utekelezaji wa majukumu yao lakini pia mwalimu anaweza kufanya kazi kubwa kwa muda mchache  tofauti na ilivokuwa awali kabla ya mfumo.

Mafunzo hayo ya Mfumo wa ukusanyaji taarifa Shuleni  yatadumu kwa muda wa siku mbili  leo tarehe 14 na tarehe 15 kwa walimu wakuu wakuu wa shule , Walimu wa Tehema na walimu wa Takwimu  kwa Shule za msingi na Sekondari iili kuwawezesha walimu hao kuutumia mfumo hou ifikapo tarehe 15/02/2026 na kuendelea.

Afisa elimu vifaa na Takwim  Mwl Gerald Shitindi akieasilisha baadhi ya vipengele vilivyopo kwenye mfumo wa ukusanyaji taarifa Shuleni  wakati wa mafunzo kwa walimu yaliyofanyika katika Ukumbi wa mikutano wa Sapanjo Halmashauri ya Wilaya ya Chunya.

Afisa Tehama wilaya ya Chunya ndugu Mswaki Maganga akiwasilisha maada kuhusu ujazaji wa alama za wanafunzi kwenye mfumo wa ukusanyaji taarifa Shuleni (SIS). katika ukumbi wa mikutano wa Sapanjo Halmashauri ya Wilaya ya Chunya.

Walimu wakuu, Wakuu wa Shule , Walimu wa takwimu na walimu wa Tehama wakifuatilia Mafunzo ya mfumo wa ukusanyaji taarifa Shuleni  (SIS) katika ukumbi wa mikutano wa Sapanjo


Matangazo

  • KUPIGA KURA YA RAIS KITUO AMBACHO HAUKUJIANDIKISHA September 15, 2025
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • MKAWE MABALOZI WA MFUMO WA SIS KWA WALIMU WENGINE.

    January 14, 2026
  • TUMIENI VYOMBO VYA HABARI NA NJIA NYINGINE KUTOA ELIMU YA BIMA YA AFYA KWA WANANCHI.

    January 07, 2026
  • KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA KATA WATAKIWA KUSIMAMIA UREJESHWAJI WA MIKOPO..

    December 30, 2025
  • MHE MASACHE AUNGANA NA VIONGOZI WA DINI NA SERIKALI KUSISITIZA UWEPO WA AMANI.

    December 04, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.