• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

MHE.BATENGA AMEWATAKA WATENDAJI KUSIMAMIA SUALA LA USAFI HASA KWA KIPINDI HIKI CHA MASIKA

Imewekwa: December 3rd, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mhe Mbaraka Alhaji Batenga amewataka watendaji  kusimamia suala la usafi na kulipa kipaumbele hasa kipindi hiki cha masika  ili kujikinga na magonjwa ya mlipuko yanayoweza kutokea kutokana na uchafu wa mazingira ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kuna kuwa na madampo  ya kumwaga taka na si kutupa taka hovyo pamoja na kuendelea kusimamia vizuri miradi ya maendeleo katika maeneo yao iweze kutekelezwa kwa ubora na viwango

Hayo ameyasema leo Desemba 3/2024 wakati wa kikao cha robo ya kwanza cha Tathimini ya Lishe ngazi ya kata kilichoketi katika Ukumbi wa Dadi Halmashauri ya Wilaya ya Chunya.

Mhe Batenga amezitaka kata ambazo hazijafikia malengo katika utekelezaji wa afua za lishe kuhakikisha wanaongeza juhudu na ufwatiliaji ili kuweza kufikia lengo lililokusudiwa na kuvuka lengo hilo jambo litakaloifanya Halmashauri iendelee kufanya vizuri Zaidi katika masuala ya lishe.

 Aidha Mhe. Batenga ametoa pongezi kwa watendaji wa kata wa kusimamia vizuri Uchaguzi wa serikali za mitaa katika maeneo yao hali iliyochangia uchaguzi kuisha kwa usalama na Amani na hali hiyo ni kutokana na utendaji kazi mzuri wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Wananchi wake .

“Kufanikiwa kwa uchaguzi wa serikali za mitaa kumekuja kutokana na wananchi kukubali utendaji kazi wa serikali yao yani mimi pamoja na ninyi hivyo tuendelee kujituma, kufanya kazi kwa bidii pamoja na kuwasikiliza wananchi wetu sio ninyi tu hii ni pamoja na taasisi zingine tunazofanyanazo kazi”Amesema Mhe.Batenga.

Naye katibu tawala wa Wilaya ya Chunya ndugu Anakleth Michombero  ametoa rai kwa Watendaji  wanapokuwa wanagawa maeneo  kwa wananchi  kukumbuka kutenga maeneo kwaajili ya taasisi  ili kuepusha usumbufu unaoweza kujitokeza pale ambapo taasisi inauhitaji wa eneo kwaajili ya kuhudumia wananchi alafu eneo linakuwa hamna.

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Wakili  Athuman Bamba  katibu wa kikao hicho  ametaka watendaji  wa kata na vijiji kujiandaa na kushiriki kikamilifu  maadhimisho ya  siku ya  Uhuru ambapo Maadhimisho hayo yataadhimishwa kwa kutoa elimu kwa wenyeviti na wajumbe wa Halmashauri za vijiji  yatakayofanyika kwa tarafa zote mbili, tarafa ya kiwanja na tarafa ya kipembawe  kutoka kwa wataalam mbalimbali Wilaya ya Chunya  ili kuwajengea uwezo wa namna ya  kutekeleza vyema majukum yao.

Kaimu Afisa lishe Halmashauri ya Wilaya ya Chunya  ndugu Simoni Mayala  amewataka  watendaji kuendelea kutekeleza majukumu yao  ya kusimamia masuala ya Lishe katika kata zao kama ambavyo walisaini Mkataba wa lishe ikiwa ni pamoja na kutuma taarifa za utekelezaji kwa muda uliopangwa lakini pia kutoa ushirikiano changamoto yoyote inapojitokeza ili iweze kutafutiwa ufumbuzi.

Kikao cha tathimini ya Lishe robo ya kwanza ya Julai hadi Septemba kimehudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Chunya , Katibu tawala, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri, Maafisa Utumishi,  Watendaji wa kata na Waratibu elimu kata  kwa lengo la kufanya tathimini ya utekelezaji wa afua ya lishe kwa kipindi cha robo pamoja na kujadili changamoto mbalimbali.

Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mhe.Mbaraka Alhaji Batenga akizungumza na watendaji kata pamoja na waratibu elimu kata  wakati wa kikao cha tathimini ya lishe ngazi ya kata kilichoketi katika ukumbi wa Dadi Wilayani Chunya

Katibu tawala wa Wilaya ya Chunya ndugu Anakleth Michombero akiwakumbusha watendaji  kutenga maeneo ya taasisi pindi wanapogawa maeneo  wakati wa kikao cha tathimini ya lishe ngazi ya kata kilichofanyika ukimbi wa Dadi Wilaya ya Chunya

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Chunya wakili Athuman Bamba  akiwataka watendaji kuendelea kufuata na kutekeleza maagizo yanayotelewa katika kutekeleza majukumu yao  ikiwa ni pamoja na suala la lishe pamoja na ukusanyaji wa mapato.

Wajumbe wa kamati ya lishe ngazi ya kata wakifuatilia  tathimini ya  utekelezaji wa afua za lishe katika maeneo yao wakati wa kikao cha robo ya kwanza ya Julai hadi Septemba .

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.