• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

MHE MASACHE AUNGANA NA VIONGOZI WA DINI NA SERIKALI KUSISITIZA UWEPO WA AMANI.

Imewekwa: December 4th, 2025

Mbunge wa jimbo la Lupa Mhe. Masache kasaka  kwa kushirikiana na viongozi wa dini na serikali Wameendelea kusisitiza suala la Amani kama ndio msingi mkubwa wa maendeleo ya nchi  kwani  shughuli nyingi za kiuchumi na membo mengine mengi yanatendeka panapokuwa na Amani, pasipo Amani hakuna maendeleo na hakuna jambo lolote linaloweza kufanyika.

Msisitizo juu ya Amani umetolewa  leo tarehe 04/12/2025 wakati wa kikao cha viongozi wa dini , na vionngozi wa serikali  kilichoketi katika ukumbi wa mikutano wa Sapanjo Halmashauri ya Wilaya ya Chunya.

“Tuendelee kuiombea nchi yetu ili Amani iweze kutamalaki na ili Amani iweze kutamalaki tunawategemea sana ninyi viongozi wetu wa dini,niwaombe sana viongozi wangu wa dini tunapopata nafasi ya kutoa  mnahubiri kwenye idada au mawaidha jambo la Amani tuendeleee kusisitiza tulipe kipaumbele vurugu tuzikatae kwani huo sio utamaduni wetu” Amesema Mhe.Masache.

Aidha Mhe. Masache amesema kuwa uvunjifu wa Amani husababisha madhara makubwa sana katika jamii ikiwa ni pamoja na uharibifu wa miundombinu na mali zingine lakini pia hupelekea watu kupoteza maisha hivyo kila mmoja anajukum la kuilinda na kuidumisha Amani na kuendelea kupinga vitendo vya uvunjifu wa Amani.

Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Chunya ndugu Semwano Mlawa ameendelea kuwasihi viongozi wa dini kuendelea kuhubiri Amani  na kukemea vitendo vya uvunjifu wa Amani huku akisema msimamo wa serikali ni kuendelea kulinda watu wake na mali zao na kuhakikisha jamii inakuwa salama kwa namna yoyote ile.

Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi Wilaya ya Chunya ametoa rai kwa viongozi wa dini kwendelea kuhubiri Amani kwani hakuna mbadala wa Amani Amani inapotoweka hakuna mtu anaeweza kubaki salama kila mmoja anaathirika kwa namna moja au nyingine hivyo tuendelea kulinda na kudumisha amani.

“Hakuna mbadala wa Amani ndugu zangu hata kama wewe ni billionea,ulikuwa na cheo kikubwa lakini pasipo Amani nafasi hizo zote zinapotea athari za uvunjifu wa Amani zinzathiri kila mmoja wetu kwani hakuna shughuli zinazoweza kufanyika , husababisha mfumuko wa bei za bidhaa na mambo mengine mengi hizo ndizo athari za uvunjifu wa Amani” amesema Chiwanga

Mchungaji wa kanisa la TAG Mch.Maxwel Mwendampapa na Mchungaji Luka Mdoo wa kanisa la morovian  kwa niaba ya wachungaji wengine  wamesema kuwa  wao kama viongozi  wanahubiri Amani na kulaani vikali vitendo vya uvunjifu wa Amani kwani ili taifa liendeleee linahitaji Amani na wao kama viongozi wa dini wataendelea kuiombea na kuihubiri Amani  katika nchi  ya Tanzania kwani kanisa linapenda Amani, upendo na umoja.

Naye shehe Abdul Jambila akiwawakilisha mashehe wengine  ametoa rai juu ya matumizi ya mitandao na kuwaomba viongozi wa dini kuwaambia waumini wao kuwa makini na maudhui ya mitandaoni huku akiendelea kusisitiza wao kama mashehe wataendelea kutoa mawaidha ya amni na kuombea Amani ya  taifa la Tanzania na kuwaombea viongozi ili amaniiendelee kutamalaki.

Kikao cha Mhe Mbunge na viongozi wa dini na serikali ni mwendelezo wa kuendelea kusisitiza  juu ya kuilinda na kudumisha Amani, msisitizo huu umeendelea kutolewa kutokana na uvunjifu wa Amani uliotokea kipindi cha uchaguzi na kusababisha madhara makubwa katika jamii

Matangazo

  • KUPIGA KURA YA RAIS KITUO AMBACHO HAUKUJIANDIKISHA September 15, 2025
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • MHE MASACHE AUNGANA NA VIONGOZI WA DINI NA SERIKALI KUSISITIZA UWEPO WA AMANI.

    December 04, 2025
  • WATALAM NA MADIWANI WAASWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    December 02, 2025
  • CHUNYA KUONGEZA NGUVU MAPAMBANO VVU

    December 01, 2025
  • HAKIKISHENI MASHAMBA YOTE YA SHULE YANALIMWA MSIMU HUU WA MVUA.

    November 27, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.