• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

Mbunge Kasaka azindua zahanati ya Godima

Imewekwa: July 21st, 2022

Mbunge wa Jimbo la Chunya, Mheshimiwa Masache Kasaka ameizindua zahanati ya Godima iliyopo Kata ya Chokaa Wilaya ya Chunya.

Akizindua zahanati hiyo, Mhe Kasaka {Mb} amesema lengo ni kuhakikisha yale yote waliyoyaahidi kwa Wananchi wanayatizima ili kuwaletea maendeleo.

“Ndugu zangu wana Godima, leo tarehe 20.07.2022 imekuwa siku ya furaha kwetu, uzinduzi wa zahanati hii ina maana kwamba afya zetu zinaenda kuwa bora zaidi,” alisema Mhe. Kasaka.

Kasaka aliongeza kwa kusema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuhakikisha miundombinu ya huduma za afya inaboreshwa kwa wananchi na kuwataka wataalamu wa zahanati ya Godima kutoa huduma stahiki kwa wanajamii.

Kadhalika Mhe. Kasaka {Mb} amewapongeza wananchi wa Kijiji cha Godima kwa namna walivyojitoa kuhakikisha wanakamilisha ujenzi wa zahanati hiyo kwa kutoa michango mbalimbali.

"Kwanza niwapongeze kwa namna ambavyo tumejitolea michango yetu mbalimbali mpaka kufikia hatua hii ilipofikia, ni vijiji vichache sana ambavyo vinaweza jitolea kama ambavyo nyinyi mmejitolea." Alisema Kasaka.

Mheshimiwa Kasaka aliongeza kwa kusema kuwa, ndani ya mwaka mmoja Wilaya ya Chunya kwenye sekta ya afya imefanikiwa kutekeleza ujenzi wa zahanati nane na vituo vya afya vitatu ambavyo vitaenda kuimarisha huduma ya afya kwa wananchi.

Uzinduzi huo umehudhuriwa na Mheshimiwa Diwani wa Kata ya Chokaa Mhe. Samwel Raphael Komba, Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya ya Chunya Ndg. Edward Righton Tengulaga, Kamati ya Halmashauri ya Kijiji pamoja na Wananchi wa kijiji cha Godima.

Kaimu Mganga Mkuu wa halmashauri ya wilaya ya Chunya Ndg. Edward Righton Tengulaga wakwanza Kushoto akifafanua jambo mbele ya Mhe. Masache Kasaka Mbunge wa jimbo la Lupa aliyevaa shati ya Kijani wakati wa Uzinduzi wa zahanati ya Kijiji cha Godima, kata ya Chokaa

Diwani wa kata ya Chokaa Mhe. Samweli Komba akizungumza na Wananchi wa kijiji cha Godima waliojitokeza wakati wa Uzinduzi wa Zahanati ya kijiji hicho

Wananchi mbalimbali wa kijij cha Godima waliojitokeza kwenye hafla ya  uzinduzi wa zahanati ya kijiji

Mbunge wa Jimbo la Lupa Mhe. Masache Kasaka aliyevaa shart lakijani sambamba na Kaimu Mganga Mkuu wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya Ndg. Edward Tengulaga wakikagua zahanati ya Godima kabla ya Uzinduzi

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.