• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

MBUNGE JIMBO LA LUPA "TULIOMBEE TAIFA LETU LA TANZANIA LIWE NA AMANI DAIMA"

Imewekwa: October 1st, 2023


Mbunge wa jimbo la Lupa Mhe. Masache Njeru Kasaka amewataka waumini wa dini zote wilayani Chunya kuendelea kuombea Taifa ili Amani iliyopo iendelee kudumu zaidi jambo ambalo litasaidia serikali ilyopo madarakani kuendelea kutekeleza majukumu yake ya kuwahudumia wananchi wake na wananchi mtaendelea kutekeleza majukumu yanu kwa shughuli halali za kujipatia kipato.


Mhe Masache ametoa rai hiyo mapema leo jumapili ya tarehe 1/10/2023 alipopata nafasi ya kuwasalimia waumini waliojihudhurisha kwa ibada wakati aliposhiriki ibada katika kanisa la Moraviani Tanzania ushirika wa Chunya


“Ndugu waumini niwaombe mwendelee kuliombea Taifa letu la Tanzania ili Amani iliyopo iendelee kudumu ndipo sisi watumishi wenu tutaendelea kuwatumikia kwa amani lakini pia ninyi mtaendelea kujishughulisha na shughuli zenu za Maendeleo kwa amani na niwakumbushe Amani haina dini, kabila wala kiwango cha pesa alicho nacho mtu hivyo jukumu la kuombea amani ni la wanaChunya wote bila kujali dini, kipato au eneo analo toka mtu.


Aidha Mhe Masache amechangia fedha kiasi cha shilingi Milioni moja katika miradi ya maendeleo inayotekelezwa na kanisa hilo huku akisema kanisa ni moja ya mdau muhimu wa maendeleo si katika jimbo la Lupa tu bali pia Taifa lote la Tanzania maana sote ni mashahidi zipo shule, hospitali na miradi mingine mingi humilikiwa na taasisi za dini.


Kiongozi wa kanisa hilo Mchungaji Godfrey Tinha na Mchngaji Anyandwile Kajange ambaye ni mwenyekiti wa kanisa hilo Jimbo la Chunya wamemshukuru mbunge kuamua kutembelea kanisa hilo pamoja na mchango wake ambao umetowa kwa ajili ya miradi ya maendeleo inayotekelezwa na kanisa hilo huku akiahidi kuendelea kuombea Taifa ili Amani iliyopo iendelee kudumu zaiidi na zaidi.


Mhe Masache yuko jimboni kwake tayari kwa ziara ya kukutana na wananchi  ambayo inataraji kuanza kesho tarehe 2/10/2023 mpaka tarehe 11/10/2023 ili kutoa mrejesho wa Bunge la bajeti lililohitimishwa Juni 28, 2923, kusikiliza kero za wananchi na kutafuta suluhu ya kero hizo, kukutana na viongozi wa Chama na serikali katika vijiji, vitongozi na kata zao pamoja na kufanya mikutano ya hadhara na wananchi wote ili kueleza utekelezaji wa Ilani kama alivyotumwa kuwasemea wananchi wa Chunya katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mbunge wa Jimbo la Lupa Mhe Masache Njeru Kasaka akisujudi ishara ya kupokea ama unyenyekevu wakati alipokuwa anakaribishwa kwenye Ibada aliposhiriki ibada ya leo katika Kanisa la Moraviani ushirika wa Chunya

Mbunge wa Jimbo la Lupa Mhe Masache wa kwanza kushoto akitambulishwa na Mchungaji Mwenyeji wa kanisa la Moraviani ushirika wa Chunya Mjini mapema leo aliposhiriki Ibada

Mvunge wa jimbo la Lupa Mhe Masache Kasaka wa kwanza kushoto akikabidhi fedha alizochangia katika kanisa hilo kwa lengo la kuchangia miradi ya kanisa hilo mapema leo

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.