• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

MAENEO YOTE YA SERIKALI NA TAASISI YAPIMWE ILI KUEPUSHA UVAMIZI

Imewekwa: January 15th, 2024

Mkuu wa wilaya ya Chunya Mrakibu Mwandamizi wa Uhamiaji  Mhe Mbarak Alhaji Batenga ameagiza maeneo yote ya Serikali pamoja na Taasisi zote kupimwa kwa haraka sana na kupatiwa hati ili kuepuka uvamizi na migogoro inayojitokeza kati ya wananchi na serikali au serikali na wananchi jambo linaloweza kuathiri ushirikiano kati ya serikali na wananchi wake

Mhe Batenga ametoa agizo hilo leo tarehe 15/01/2024 kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya ofisi ya serikali ya kitongoji cha Itumbi wakati alipoongoza msafara wa kamati ya usalama ya wilaya ikiamabatana na Meneja wa wakala wa barabara za vijijini na mijini (TARURA) iliyokusudia kukagua ubovu wa miundombinu ya barabara ya Matundasi-Itumbi yenye urefu wa Kilomita kumi na mbili (12) na Barbara ya Mnazi mmoja- Sambilimwaya yenye urefu wa Kilomita tatu (3)

“Wiki ijayo mpima ardhi afike hapa katibu tawala simamia hilo ili maeneo yote ya serikali yapimwe na yapewe hati ili tuone uvamizi unatokea wapi na hii ndo itakuwa suluhisho la migogoro ya ardhi ndani ya wilaya ya Chunya na vijiji vyake”

 Baadhi ya wananchi akiwepo Oden Mwakanyamale alieleza eneo la Makaburi kuuzwa na hakuna eneo la lingine lililotengwa kwaajili ya Makaburi, Twalibu Athuman yeye pia alieleza namna anavyosumbuliwa juu ya umiliki wa shamba lake wakati alinunua kihalali na mtu aliyemuuzia yupo na ushahidi upo

Aidha Mkuu wa wilaya ya Chunya amewataka wananchi wa wilaya ya Chunya kuendelea kuiamini serikali ya awamu ya sita chini Rais Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwani ni sikivu na inawapenda wananchi wake na  inatatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi wake ili kuwarahisishia upatikanaji wa huduma mbalimbali ili waendelee na shughuli za uzalishaji mali

Ziara ya Mkuu wa wilaya imekuja ili kutatua changamoto mbalimbali zilizobainika wakati wa ziara ya kamati ya Siasa ya wilaya ya Chunya ilipopita kukagua utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi wilayani Chunya.

Katibu tawala wilaya ya Chunya Ndugu Anakleth Michombero akizungumza jambo kabla ya kumkaribisha mkuu wa wilaya ya Chunya kuzungumza na wananchi wa Itumbi mapma leo kwenye mkutanouliofanyika viwanja vya ofisi ya kitongoji

Diwani wa kata ya Matundasi Mhe Kimo Choga akitoa salamu za kata mbele ya Mkuu wa wilaya katika mkutano uliofanyika Itumbi mapema leo

Baadhi ya wananchi wa kitongoji cha Itumbi wakimsikiliza Mkuu wa wilaya ya Chunya Mapema leo

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.