• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

MAAGIZO MAZITO YATOLEWA KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

Imewekwa: August 28th, 2024

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Mhe. Bosco Mwanginde amewataka watendaji wa Halmashauri hiyo kuhakikisha fedha ambazo Halmashauri inadai kwa wadau zinafualiwa ili zilipwe haraka na baadaye pesa hizo zitumike maeneo mengine yenye uhitaji

Ametoa wito huo Agosti, 27 mwaka huu wakati wa kikao cha kujadili   taarifa ya hesabu za mwaka wa fedha 2023/2024 kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya uliopo jengo jipya la utawala

 “Tumeona kwenye taarifa hii, Halmashauri inadai shilingi milioni mia tatu na sabini na moja kutoka kwa wadau mbalimbali, fedha hii lazima ifuatiliwe ili ilipwe kwa wakati ili ipelekwe kutekeleze miradi ya maendeleo” alisema Mwainginde.

Akizungumza kwenye kikao cha Baraza la Madiwani, Mhe. Mwanginde alisema magari yaliyochakaa pamoja na vifaa vyote vilivyoisha muda au kutokutumika vipigwe mnada ili fedha itakayopatikana itumike kwenye matumizi mengine ya Halmashauri.

Aidha Mhe Mwanginde aliwataka Madiwani na watumishi wa Halmashauri kuongeza ushirikiano baina yao na kufanya kazi kwa bidii hasa kwenye miradi ya maendeleo ambapo zaidi ya shilingi billion 3.3 sawa na asilimia 119 zimepelekwa kwenye miradi hiyo.

 “Kutekeleza miradi ya maendeleo kwa wananchi ndio kutekeleza ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na hivyo kujihakikishia cha kueleza wakati wa kuomba kura kwa wananchi Novemba 27 mwaka huu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na hata baadaye kwenye uchaguzi mkuu” alisisitiza Mwainginde.

Akisoma taarifa ya hesabu za mwaka 2023/2024, mweka hazina wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya, Rajabu Lingoni amesema, kwa miaka mitatu mfululizo yaani mwaka 2021/2022  Halmashauri ilishindwa kufikia malengo ya kukusanya mapato kwa asilimia 3, mwaka 2022/2023 ilipata ongezeko la asilimia 14 na mwaka huu 2023/2024 makusanyo yaliongezeka zaidi na kufikia ongezeko la asilimia 50.

“Mwaka 2021/2022 tulikusanya bilioni 5.3 ukilinganisha na makadirio ya kukusanya Bilioni 5.5, 2022/2023 tulikusanya bilioni 5.9 ukilinganisha na makadirio ya kukusanya Bilioni 5.2, 2023/2024 tulikusanya bilioni 9.8 ukilinganisha na makadirio ya kukusanya Bilioni 6.5,”alisema Lingoni.

Mwekahazina wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya  ndugu Rajabu Lingoni akisoma taarifa ya hesabu za mwaka 2023/2024 za Halmashauri kwenye kikao cha baraza la Waheshimiwa Madiwani la kujadili na kupisha hesabu hizo

Waheshimiwa madiwani  wakipitia taarifa ya Hesabu za mwisho za mwaka  2023/2024 za Halmashauri ya Wilaya ya Chunya



Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.