• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

Imewekwa: April 16th, 2025

Maafisa habari na Waandishi wa habari kutoka Mkoa wa Mbeya na Songwe wapata mafunzo ya elimu ya afya ya akili kuwawezesha kujitambua ili kuendelea kuelimisha na kuuhabarisha umma juu ya changamoto ya afya ya akili kwakuwa tafiti zinaonesha watu wengi hususani Vijana ni wahanga wa tatizo hilo pasipo wao kujua wanakabiliwa na changamoto ya afya ya akili.

Elimu hiyo juu ya afya ya akili imetolewa na Mtaalam wa saikolojia Bi Sumaiya Mahmoud tarehe 15/04/2026 kupitia shirika la DSW Tanzania linalotekeleza mradi wa Afya na Maendeleo kwa Vijana  unaojulikana kama SAFA na REST katika Mikoa ya Mbeya na Songwe wakati wa kikao cha mapitio ya shughuli za mradi kilichoketi katika Ukumi wa Mikutano uliopo katika ofisi DSW Tanzanio uliopo jiji la Mbeya.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la DSW Tanzania Ndugu Peter Owaga akawakumbusha Maafisa habari na Waandishi wa Habari kuhusu shirika hilo na shughuli mbalimbali zinazofanywa na shirika hilo ikiwa ni pamoja na kuwakumbusha maafisa hao wajibu wao katika mradi ili kuendelea kuelimisha Vijana na jamii kwa ujumla kuhusu masuala ya afya ya uzazi, ukatili wa kijinsia, stadi za maisha na mambo mengine kwa maendeleo ya Taifa la leo na Kesho.

‘’Tunaendelea kukumbushana kuhusu Shirika la DSW Tanzania, shughuli zinazofanywa pamoja na miradi inayotekelezwa ili kuendelea kuaongezea uelewa zaidi  kwenu ninyi kama Maafisa Habari na Waandishi wahabari  kwa lengo la  kufikisha elimu ya Afya na maendeleo kwa Vijana kwa wanufaika wa mradi na jamii kwa ujumla”alisema Owaga

Naye Noah Kibona Afisa Habari kutoka Wilaya ya Rungwe kwaniaba wa washiriki wengine amesema kuwa mafunzo hayo yana manufaa makubwa kwao kwani imewasaidia kkwanza kujitambua wao wenyewe lakini pia itawasaidia katika kuelimisha jamii juu ya matatizo ya afya ya akili lakini pia kupitia utekelezaji wa shughuli zamradi imewasaidia kujua wapi panapaswa kuongezwa nguvu zaidi ili kufanikisha malengo ya mradi wa Afya na Maendeleo kwa Vijana.

Kikao cha mapitio ya mradi unaotekelezwa na shirika la DSW Tanzania  kimehudhuriwa na Maafisa Habari  , Waandishi wa habari  kuoka Mkoa wa Mbeya na Songwe ,  Mtaalam wa Saikolojia na Wafanyakazi wa Shirika hilo .

Mkurugenzi wa shirika la DSW Tanzania Ndugu Peter Owaga akielezea kuhusu shirila hilo kwa Maafisa habari na Waandishi wa Habari wakati wa kikao cha mapitio ya shughuli za mradi katika Ukumbi wa mikutano wa ofisi za shirika la DSW uliopo jiji la Mbeya.

Mtaalam wa Saikolojia Bi Sumaiya Mahamoud akifundisha kuhusu afya ya akili kwa Maafisa habari na Waandishi wa habari wa Mkoa wa Songwe na Mbeya wakati wa kikao cha mapitio ya shughuli za mradi. 

Maafisa habari na Waandishi wa habari  wa Mkoa wa Mbeya na Songwe wakifuatilia kikao cha mapitio ya shughuli za mradi katika Ukumbi wa Mikutano uliopo katika ofisi za DSW Tanzania Jijini Mbeya.

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.