• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

LINDENI KIAPO CHENU MLICHOAPA

Imewekwa: August 8th, 2025

Mkuu wa wilaya ya Chunya Mhe Mbaraka Alhaji Batenga amewata wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Akiba waliohitimu Mafunzo leo kuhakikisha wanakuwa msaada kwa jamii zao huku akiwahimiza kuendelea kulinda na kuheshimu kiapo walichokipata baada ya kuhitimu Mafunzo hayo kwani wao pia ni sehemu ya Jamii ya Tanzania wanayoenda kuitumikia baada ya kuhitimu mafunzo

Ametoa kauli hiyo leo 7.8.2025 wakati wa hafla ya kuhitimisha Mafunzo ya Jeshi la akiba yaliyodumu kwa wiki 18 yaliyokuwa yanafanyika katika uwanja wa Shule ya Msingi Sangambi ambapo wahitimu themanini na Saba (87) wakiume sabini na saba (77) na wa kike wakiwa kumi (10) wamehitimu mafunzo hayo.

“Nendeni mkasaidie jamii kuleta maendeleo katika Jamii zenu mnazotoka katika kata hii ya Sangambi, Lakini pia nendeni mkaishi maisha yenye nidhamu huku mkikumbuka kwamba mmekula kiapo na kama nimesikiliza vizuri mwishoni mmesema Mwenyeezi Mungu Nisaidie, Hivyo nendeni mkaishi kulingana na kiapo hicho” Amesema Mhe Batenga

Aidha Mhe Batenga amesema amepokea changamoyo ya ukosefu wa fedha za sare kwa wahitimu wa Mafunzo huku akiahidi kwamba kwa Mafunzo yajayo Halmashauri itatenga Batenga kwaajili ya Sare na gharama nyingine zinazohitajika wakati wa Mafunzo hayo jambo litakaloongeza morali kwa vijana wengine kujiunga na mafunzo ya Jeshi la Akiba

Akitoa taarifa ya mwenendo wa Mafunzo hayoMshauri wa Jeshi la akiba wilaya ya Chunya SSGT. Ngole Anderson Nkanyanga amesema jamii bado ina mtazamo hasi kuhusu jeshi hilo hivyo kupelekea washiriki wengine kukatisha mafunzo hayo kutokana na kukatishwa tamaa na  jamii zao jambo ambalo sio zuri kwani jeshi hilo linalenga kutoa msaada kwa mujibu wa Sheria ya kuanzishwa kwake

Aidha SSGT Nkanyanga amewashukuru Kamati ya usalama, wadau, uongozi wa kata na vijiji na wananchi wote waliojitokeza katika hafla hiyo lakini pia kwa ushirikiano mkubwa na adhimu walioupata katika kipindi chote cha Mafunzo.

Awali akisoma Risala Mbele ya Mgeni rasmi Mkuu wa wilaya ya Chunya MG. Jonas Abel Kivinge amesema baadhi ya Changamoto ni pamoja na washiriki wa mafunzo kushindwa kumudu gharama za sare na mambo mengine pindi wawapo katika mafunzo hayo huku akipeleka ombi kwaniaba ya washiriki wengine la kupewa kipaumbele inapotokea fursa za kazi au fursa nyingine.

Mafunzo hayo yamedumu kwa wiki 18 yakihusisha washiriki mia moja na thelasini (130) lakini sababu mbalimbali zikiwepo utoro, utovu wa nidhamu na nyinginezo zimepelea washiriki waliofuzu mafunzo kupungua kufikia themanini na saba (87) wakiume wakiwa sabini na saba (77) na wakike kumi (10) pekee.

Vijana wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Akiba kata ya Sangambi wakimsikiliza Mgeni Rasmi Mhe Mbaraka Alhaji Batenga Mkuu wa wilaya ya Chunya wakati wa Hafla yao ya kuhitimu mafunzo hayp

 Baadhi ya Wazee maarufu wa Kata ya Sangambi wakifuatilia Hotuba ya Mgeni rasmi wakati wa hafla ya kuhitimisha Mafunzo ya Jeshi la Akiba kata ya Sangambi

Baadhi ya sehemu ya wananchi wa Kata ya Sangambi wafuatilia Hotuba ya Mgeni rasmi wakati wa Hafla ya kuhitimisha Mafunzo ya Jeshi la Akila kata ya Sangambi

Kamati ya Usalama ya wilaya ya Chunya wakiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Akiba kata ya Sangambi

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI TOKA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI July 03, 2025
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • LINDENI KIAPO CHENU MLICHOAPA

    August 08, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI WAONYWA MATUMIZI YA 'WHATSAPP'

    August 06, 2025
  • MAFUNZO KWA WASIMAMIZI CHUNYA ISHARA YA UCHAGUZI MZURI

    August 04, 2025
  • RUNGWE WACHALAZWA CHUNYA

    July 19, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.