• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

KUWAJALI NA KUWAHURUMIA WAZEE KUNA FAIDA KWA JAMII NA NDIO KAZI MHE RAIS ANATUTAKA TUFANYE

Imewekwa: October 7th, 2024

Mkuu wa wilaya ya Chunya Mhe Mbaraka Alhaji Batenga amewataka viongozi wote ndani ya wilaya ya Chunya pamoja na wananchi wegine wote kuwajali na kuwalinda wazee waliopo katika jamii zao kwa kuhakikisha wanawapatia haki zao kwani Jambo hilo lina Baraka za mwenyeezi Mungu kwa jamii na Taifa kwa ujumla

Akizungumza Mapema  Oktoba 6, 2024 kwenye Mkutano wa Hadhara uliofanyika katika kitongoji cha Idodoma kilichopo kwenye Kijiji cha Bitimanyangawa, kata ya Mafyeko uliolenga kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua alio pamoja na kutoa Elimu ya Umuhimu wa wananchi hao kushiriki kujiandikisha ikiwa ni hatua mojawapo kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024.

“Unamuonea bibi kama huyu unataka aende wapi? Hata Mungu hapendi. Viongozi tufanye kazi kwa haki lakini kwa wazee wenye umri kama bibi huyu Jamii tuwalinde kwa pamoja maana wakati mwingine wanaonewa na watoto wao hivyo jamii tuwasaidie” Amesema Mhe Batenga

Aidha Mhe Betenga amemwagiza Katibu tarafa kufika eneo hilo kufuatilia kwa kina madai ya Bibi huyo yanayoonesha Nyumba yake imeuzwa pasina yeye kujua jambo lililopelekea bibi huyo kuendelea kuishi kwenye mji wa mtu mwingine

Katika wakati mwingine Mkuu wa wilaya ya Chunya amewataka wananchi wa kitongoji cha Idodoma kuhakikisha wanashiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ili wachague viongozi watakao waongoza kwa kipindi cha Miaka mitano mingine na watakao msaidiia Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwaletea Maendeleo katika kitongoji chao ikiwepo ukamilishaji wa Shule ambayo kwasasa ina madarasa mawili wakati madarasa mengine matatu yakiwa kiwango cha Boma, kusogeza huduma ya umeme na huduma nyingine nyingi

Ziara ya Mkuu wa Wilaya iko katika siku yake ya pili ambapo kwa tarehe 6/10/2024 Mkuu wa wilaya ya Chunya amefanya mikutano mine katika kidongoji cha Idodoma, Bitimanyanga, Kambikatoto na Kanoge huku maeneo yote akisikiliza kero za wananchi na kuzipatia majibu pamoja na kuhimiza wananchi hao kujiandikisha kwenye Daftari la mkazi ambapo zoezi la uandikishaji litaanza rasmi tarehe 11-20/10/2024 na kuhimitisha kwa kufanya uchaguzi Novemba 27,2024

Mkuu wa wilaya ya Chunya akizungumza jambo wakati wa mkutano na wananchi wa Kitongoji cha Idodoma kilichopo kijiji cha Bitimanyanga katika Kata ya Mafyeko. Katika Mkutano huo ndipo alipomwagiza Mwenyekiti wa Kitongoji kurudisha Shilingi laki mbii na Hamsini ambazo ilithibitika hakumrudishia Bibi aliyekuwa anamtudai Bwana Anthony

Mkuu wa wilaya ya Chunya Mhe Mbaraka Ahaji Batenga akizungumza na wananchi wa Bitimanyanga baada ya kusikiliza kero za wananchi wa Kitongoji cha Idodoma, alipata wasaa wa kusikiliza wananchi wa Bitimanayanga na kutatua kero zinazowakabili

 Mkuu wa wilaya ya Chunya akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Kambikatoto baada ya kupokea kero zao na hapo alikuwa akisimama kutoa majibu lakini pia kuwahimiza kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika uchaguzi unaotaraji kufanyika mapema mwezi Novemba

Wananchi wa Kanoge wakimsikiliza Mkuu wa wilaya ya Chunya wakati akijibu kero walizowasilisha kwake ili kupatiwa majibu wakati alipowatembelea kwa lengo la kusikiliza kero zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi 

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.