• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

KUSANYENI CHAKULA CHA KUTOSHA MWAKA MZIMA.

Imewekwa: May 5th, 2023

Watendaji wa kata, waratibu wa Lishe wa kata pamoja na kamati za chakula shuleni wilayani Chunya wametakiwa kuhakikisha katika msimu huu wa mavuno Chakula cha kutosha kinakusanywa kinachoweza kukidhi mwaka mzima ili wanafunzi wawapo shuleni waendelee kupata chakula ikiwa ni mkakati wa kupambana na utapiamlo kwa watoto na kuepuka ufaulu mdogo kwa wanafunzi kwasababu ya kukosa Chakula

Akizungumza na watendaji wa kata pamoja na waratibu wa Lishe wa kata leo wakati wa Kikao cha Tathimini ya mkataba wa Lishe Robo ya tatu ya mwaka 2022/2023, Katibu tawala wilaya ya Chunya Bw Anakleti Michombero akimuwakilisha Mkuu wa wilaya ya Chunya amesema lengo la wilaya ya Chunya ni kuongoza Kitaifa katika suala la Lishe hivyo amewataka kuhakikisha wanakusanya chakula cha kutosha kwa mwaka mzima

“Watendaji, waratibu wa Lishe shirikianeni kuhakikisha Chakula cha kutosha kwa mwaka mzima kianze kuchangishwa ili kuepuka changamoto za watoto kushindwa kupata chakula wawapo shuleni kumbukeni lengo letu ni kuongoza katika suala la lishe kitaifa”

Aidha kikao hicho kimewapongeza uongozi wa kata ya Chalangwa ambao kwa takwimu za jana Karibu gunia saba za mahindi zimeshakusanywa huku zoezi hilo likiwa linaendelea

Mkurugenzi mtendaji halmashauri ya wilaya ya Chunya Ndugu. Tamim Kambona amewambia watendaji wa kata kwamba kushindwa kusimamia lishe kwenye maeneo yao ni ishara tosha kwamba kazi hiyo ya utendaji wa kata hawaiwezi hivyo hatua mbalimbali zitachuliwa dhidi ya watendaji watakaobainika kushindwa kusimamia suala la lishe ipasavyo

“Mtendaji utakayeshindwa kusimamia suala la lishe Shuleni maana yake umeshindwa kufanya kazi yako hivyo mimi nitakushughulikia ipasavyo ikiwa ni pamoja na kukuondelea majukumu haya na kumkabidhi mtu mwingine”

Wajumbe kwa nyakati mbalimbali wametoa hoja zao ikiwa ni kuweka wazi maeneo yanayoweza kuwa vikwazo katika kufanikisha zoezi hilo na baadaye kutoka na azimio moja katika kila eneo linaloonekana kuleta utata na hata kupata ufafanuzi pale palipostahili kufafanuliwa

Kiako hiki cha tathimini ya Mkataba wa lishe kilichoongozwa na Katibu tawala wilaya ya Chunya akimuwakilisha Mkuu wa wilaya ya Chunya kimeketi leo 5/5/2023 katika Ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya (Sapanjo) ambapo wajumbe toka kata mbalimbali yaani watendaji wa kata na waratibu wa lishe wa kata walihudhuria.

Wajumbe wa Kikao cha Tathimini ya Mkataba wa lishe wilaya ya Chunya wakiwa katika kikao cha Robo ya Tatu 


Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.