• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI WILAYA YA CHUNYA 27/10/2017

Imewekwa: October 30th, 2017

KIKAO CHA  BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA TAREHE 27/10/2017.

Katika kikao hicho waheshimiwa madiwani walipata nafasi ya kuuliza maswali ya papo kwa hapo na kupatiwa majibu kama ifuatavyo:

Mheshimiwa Magolo  M. Diwani wa kata ya Lupa aliuliza:-

Lini gari la kituo cha Afya Lupa litarejeshwa Lupa na kuendelea kutoa huduma?

Majibu: Gari hilo tayari limesharejeshwa kituoni ila dereva wa gari hilo alikuwa na matatizo ya kiafya. Mara tu baada ya matibabu atarejea kazini.

Maadhimio: Tarehe 28/10/2017 gari liwe linafanya kazi (DMO) atafute Dereva mbadala

Lini wataalamu wa zao la tumbaku mfano Bodi ya tumbaku CHUTCU watakuwepo kwenye vikao vya kisheria il kuweza kutoa majibu ya changamoto mbalimbali za zao la tumbaku kwenye vikao?

Maadhimio: CMT ijadili na kuwasilisha swala hilo ofisi ya fedha na mipango ili ijadiliwe na kuona namna wataalamu hao watakavyoweza kushiriki kwenye vikao vya kisheria ili kutoa majibu ya changamoto mbalimbali za zao la tumbaku.

Mh. Funga, diwani wa Kata ya Matwiga aliuliza juu ya

 Upotevu wa maji kweye Bwawa la matwiga

Ufafanuzi: Bwawa hilo baada ya kukamilika liliachwa wazi maji yaendelee kutoka ili kupima kama maji hayo yanaweza kutoka na kutumika mwaka mzima.

Ni lini tathmini ya ujenzi wa miundombinu itakamilika katika ujenzi wa Bwawa la matwiga ili wananchi wafurahie huduma?

Majibu: Swala hilo lipo kwenye bodi ya zabuni linafanyiwa kazi

YATOKANAYO NA MUKTASARI WA 26/07/2017

a) Kila kijiji kufyatua tofali 200,000 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu mbalimbali

 maadhimio: Baraza lijalo taarifa ya idadi ya tofali zilizofyatuliwa kwa kila kata na vijiji taarifa iwasilishwe

b) Wanafunzi wote wa kidato cha pili na nne wahamie mabwenini ili kuongeza ufaulu

-Taarifa ya maadhimio ya utekelezaji iliwasilishwa kuwa shule zote zimeshatekeleza isipokuwa Mtanila na Ifumbo

Maadhimio: Maafisa Elimu Msingi na Sekondari wafuatilie shule hizo ili kupata sababu ya shule za Ifumbo na Mtanila kutotekeleza agizo hilo.

c) Idara ya maendeleo ya Jamii kufanya tathmini ya vikundi vya kukopeshwa mikopo

maadhimio: Taarifa ya  tathmini hiyo iwasilishwe kwenye kikao cha kamati ya fedha, utawala na mipango cha Novemba 2017

d). Fedha za vikao vya mamlaka makongorosi

-Taarifa iliwasilishwa kuwa fedha hizo zimeshalipwa.

Maadhimio:Fedha zote zinazotakiwa kupelekwa mamlaka ya Mji mdogo Makongolosi zipelekwe kwa wakati. Endapo hakuna fedha za vikao vya mamlaka  basi hata vikao vya Halmashauri makao makuu visifanyike.

                                                                   

                                       Mwenyekiti wa Halmashauri Mh. Bosco Mwanginde katika Baraza la madiwani.


                                                                  

                   Mwakilishi wa Katibu Tawala Mkoa wa Mbeya Ndg. Damian P. Mwasiwolo akitoa salamu za Katibu tawala                              

                                                                                         

                                     Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi wilaya ya Chunya Mh. Noel Chiwanga akitoa salamu za chama Tawala.

                                                                                          

                     Muwakilishi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Ndg. George K. Mtasha akitoa salamu za chama chake

                                                                                             

                                                                                                Waheshimiwa Madiwani ndani ya Baraza

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.