• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

KASANGA KANYIKA KUNUFAIKA NA HUDUMA YA MAWASILIANO MASAA 24.

Imewekwa: August 1st, 2024

Wakazi wa kitongoji cha Kasangakanyika kilichopo kijiji cha Lupa maketi katika kata ya Ifumbo  wanakwenda  kuondokana na changamoto ya mawasiliano  kupitia ujenzi wa mnara wa mawasiliano unaojengwa katika Mlima Igalawa  uliopo katika kitongoji hicho hali itakayo rahisisha upatikanaji wa huduma ya mawasiliano muda wote.

Hayo yamezungumzwa na Mbunge wa Jimbo la Lupa Mhe. Masache Njelu Kasaka   wakati akizungumza na kusikiliza kero za wananchi katika kitongoji cha Kasangakanyika kilichopo kijiji cha Lupamaketi Kata ya Ifumbo  Halmashauri ya Wilaya ya Chunya.

“Maisha ya sasa hivi ni maisha ya mawasiliano ya simu za mkononi usipokuwa na mawasiliano unakuwa umepoteza fursa mbalimbali ambazo ungeweza kuzipata .Tunaendelea kuboresha hilo  na ninavoongea na ninyi hapa tunakwenda kuwajenga mnara hapa  katika Mlima Igalawa na vifaa tayali vimeshaletwa vipo kwenye ofisi ya Mtendaji wa kata  ili kuwa na uhakika wa mawasiliano hapa masaa ishirini nan ne(24)”alisema Mhe. Masache.

Aidha Mhe.Masache amewapongeza wanachi na wadau  wa kitongoji cha KasangaKanyika kwakwendelea kujitoa kwa hali na mali katika ujenzi wa miradi ya maendeleo ikiwa ni pamoja na kunza ujenzi wa Shule ambapo ameahidi kuwaunga mkono kwa kuwachangia mifuko hamsini (50) ya saruji ili iweze kuwasaidia ujenzi huo .

Atupakisye Mwansembo mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa niaba ya Wananchi wengine  amempongeza Mhe. Masache kwa kazi kubwa anayoifanya  ya kuwaletea maendeleo wananchi wake wa Kitongoji cha Kasangakanyika na kata ya Ifumbo kwa ujumla na kuomba utekelezaji kwa mambo mbalimbali ambayo Wananchi  wameyaomba .

“Sisi tunakupongeza pamoja na kamati zako kutoka Wilaya na kata kwasababu maendeleo tunayaona ,tunakuomba  twendelee kushirikiana pamoja na wewe ili vitu  hivi vikamilike kwasababu tukianza kwa moto  tukarudi kuwa baridi tutakuwa hatujafanya chochote , usijiulize  kwanini niko hapa mama wa CHADEMA ni kwasababu Malaria bila Mseto haijapona bado sisi tuko pamoja na wewe tunachotaka ni viongozi bora na sio bora viongozi”alisema Atupakisye.

Ziara ya Mhe. Mbunge ya kuzungumza na kutatua kero mbalimbali za wananchi imefanyika katika ngazi za Vitongoji  ikijumuisha viongozi wa Chama cha Mapinduzi ngazi ya Wilaya , kata, kijiji na kitongoji  pamoja Wanachi katika Halmashauri ya Wilaya ya Chunya.

Mhe.Masache Njelu Kasaka  akizungumza na wananchi wa katika kitongoji cha Kasangakanyika  kijiji cha Lupamaketi kata ya Ifumbo wakati wa ziara yake ya  kuzungumza na kutatua kero mbalimbali za wananchi ngazi za vitongoji.


Atupokisye Mwasembo Mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akimpongeza Mhe. Mbunge kwa niaba ya Wananchi kutokana na juuhudi kubwa anazozifanya za kuwaletea Wananchi wake Maendeleo.

Baadhi ya Wananchi wa kitongoji cha Kasangakanyika wakimsikiliza Mhe. Masache Njelu Kasaka juu ya utekelezaji wa miradi malimali ya maendeleo uliofanyika na unaoendelea kufanyika katika kitongoji hicho na kata ya Ifumbo kwa ujumla.


Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.