• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

KAMATI YA USALAMA CHUNYA IMEKAGUA MIRADI ITAKAYOTEMBELEWA NA MWENGE 2024

Imewekwa: June 12th, 2024

Mkuu wa wilaya ya Chunya Mhe Mbaraka Alhaji Batenga ameongoza kamati ya Usalama ya wilaya ya Chunya ikiambatana na watalaam kukagua miradi itakayopitiwa na Mwenge wa Uhuru mwaka 2024 utakapokimbizwa katika Halmashauri ya wilaya ya Chunya. Ziara hiyo imefanyika leeo tarehe 12/06/2024

Mwenge wa Uhuru unataraji kupokelea tarehe 24/08/2024 katika kijiji cha Bitimanyanga kilichopo kata ya Mafyeko ukitokea Mkoani Tabora na baadaye kukimbizwa katika Halmashauri ya wilaya ya Chunya ambapo utakagua miradi mbalimbali katika Nyanja za Elimu, Afya, Maji, Barabara na Miradi mingine mingi.

Mratibu wa Mwenge wilaya ya Chunya Ndu Simon Mbella (Aliyenyoosha Mkono) akifafanua Jambo eneo la uwanja ambapo Mwenge wa Uhuru utapokelewa wilayani Chunya

Mkuu wa wilaya ya Chunya (Aliyevaa shati la Draft) akizungumza na viongozi wa kijiji,kata pamoja na kamati ya usalama baada ya kukagua miundombinu mbalimbali eneo ambapo Mwenge wa uhuru utapokelewa

Mkuu wa wilaya ya Chunya akiiongoza kamati ya usalama pamoja na watalaam kukagua mradi wa ufugaji wa Nyuki Kipembawe, Pichani msafara ukipokea maelezo kuhusu mradi

Mkuu wa wilaya ya Chunya akiwa ameambatana na kamati ya usalama ya wilaya ya Chunya pamoja na wataalamu wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya wakikagua maendeleo ya ufungaji wa mashine katika kiwanga cha Kusindika Unga na Mafuta kinachojengwa na Chama Kikuu cha Ushirika cha Tumbaku (CHUTCU) ikiwa ni maandalizi ya mapokezi ya Mwenge wa Uhuru  2024

Kaimu meneja wa TARURA wilaya ya Chunya Mhandisi Burhan Nammanje akifafanua jambo mbele ya Kamati ya Usalama wilaya ya Chunya baada ya kukagua ujenzi wa Daraja Lualaje

Mkuu wa wilaya ya Chunya akizungumza Jambo mbele ya Kamati ya usalama pamoja na watalaamu baada ya kukagua eneo ambapo mradi wa maji utatekelezwa katika kijiji cha Ifuma kilichopo kata ya Lupa mapema leo wakati wa ziara ya kamati ya usalama

Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Mtanda kilipochopo kata ya Mamba wakimsikilza Mkuu wa wilaya ya Chunya wakati wa ziara yake ya kutembelea kikundi cha vijana waendesha vyombo vya usafiri (Boda boda)

Mkuu wa wilaya ya Chunya akiiongoza kamati ya usalama pamoja na watalaamu kukagua mradi wa Ujenzi wa Zahanati ya Lola

Mkuu wa wilaya ya Chunya akiendelea kuiongoza Kamati ya usalama pamoja na watalaamu kukagua mradi wa ukarabati wa Shule ya Msingi Makongolosi ambapo Serikali ya awamu ya sita ilitoa shilingi milioni 90 ili kukarabati madarasa yaliyochokaa

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.