• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

HAKIKISHENI MASHAMBA YOTE YA SHULE YANALIMWA MSIMU HUU WA MVUA.

Imewekwa: November 27th, 2025

Katibu tawala Wilaya ya Chunya ndugu Anakleth Michombero amewataka watendaji kata kwa kushirikiana na Maafisa elimu kata, walimu wakuu na wakuu wa Shule kuhakikisha mashamba ya shule yanalimwa kwa msimu huu wa mvua ulioanza ili kuharahisisha upatikanaji wa  chakula Shuleni ikiwa ni  matakwa ya serikali ya kuhakikisha watoto wote wanapata chakula Shuleni.

Kauli hiyo ameitoa leo tarehe 27/11/2025 wakati wa kikao cha tathimini ya mkataba wa lishe ngazi ya kata kwa robo ya kwanza kwa mwaka wa fedha 2025/2026 kilichoketi katika Ukumbi wa mikutano wa Mwanginde hall Halmashauri ya Wilaya ya Chunya.

“Tumeanza msimu wa kilimo hakikisheni kila Shule msimu huu wa mvua inalima kwaajili ya Chakula Shuleni ,lakini pia nunueni mbegu za ruzuku zinazotolewa na serikali  kwaajili ya kupanda katika mashamba hayo na mjitahidi kupanda kwa wakati ili kukabiliana na mabadiliko ya   hali ya hewa “ amesema Anakleth

Aidha katibu tawala ametoa msisitizokatika msimu huu wa mvua kuhakikisha tahadhali zinachukuliwa ili kujikinga na magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu na magonjwa mengine yanayoweza kutokea hususani katika kipindi hiki cha mvua.

Akizungumza katika kikao hicho Mganga mkuu Wilaya ya Chunya Dkt Zuberi Mzige amesema kuwa mapambano dhidi ya utapiamlo yanapaswa kuanzia ngazi ya familia huku akitoa rai kwa waratibu wa lishe kuhakikisha wanalishughulikia jambo hilo katika maeneo yao ili kutoa msaada pindi inapotokea kuna mtu kapata changamoto hiyo ili kuhakikisha anapata matibabau na kurejea katika hali yake.

Afisa Lishe wa Wilaya ya Chunya ndugu Erick Kessy akisoma taarifa ya utekelezaji  ngazi ya kata robo ya kwanza ya july hadi Septemba kwa mwaka 2025/2026  kadi alama ni kiashiria kinachoonyesha namna ambavyo ngazi ya kata imetekeleza majukum yake ya kuwafikia wananchi ikiwa ni pamoja na kuibua watoto wenye changamoto mbalimbali ikiwa ni pamoja na utapiamlo.

Naye afisa lishe Wilaya ya Chunya ndugu Saimoni Mayala  amepongeza juhudi za watendaji na waratibu wa lishe kwa kupambana kuhakikisha chakula kinapatikana Shuleni na watoto wanapata chakula shuleni lakini pia ameendelea kusisitiza ushirikiano baina ya watendajina walimu wakuu na wakuu wa Shule kwani   walimu peke yao hawawezi kutimiza adhima ya upatikanaji wa chakula Shuleni.

Kikao cha tathimini mkataba wa lishe ngazi ya kata hufanyika kila robo ili kuona hali ya utekelezaji wa mkataba wa lishe kubaini mafanikio na changamoto zilizojitokeza na kuangalia namna ya kukabiliana nazo.

Katibu tawala Wilaya ya Chunya akitoa maelekezo ya kuhakikisha mashamba ya Shule yanalimwa wakati wa kikao cha tathimini ya makataba wa lishe ngazi ya kato robo ya kwanza kilichofanyika katika Ukumbi wa mikutano wa Mwanginde hall Halmashauri y Wilaya ya Chunya.

Mganga Mkuu wa Wilaya ya Chunya Dkt Zuberi Mzige akitwakumbusha kuchukua tahadhari dhidi ya magonjwa ya mlipiko kwa kipindi hiki cha mvua  wakati wa kikao cha robo ya kwanza cha tathimini ya mkataba wa lishe ngazi ya kata.

Afisa lishe ndugu Saimon Mayala akifafanua jambo wakati wa kikao cha tathimini ya Mkataba wa lishengazi ya kata katika ukumbi wa mikutano wa Mwanginde hall.

Watendaji wa kata, waratibu wa lishe na waratibu elimu kata wakifuatilia agenda mbalimbali wakati wa kikao cha robo ya kwanza cha tathimini ya  Mkataba wa lishe ngazi ya kata.


Matangazo

  • KUPIGA KURA YA RAIS KITUO AMBACHO HAUKUJIANDIKISHA September 15, 2025
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • HAKIKISHENI MASHAMBA YOTE YA SHULE YANALIMWA MSIMU HUU WA MVUA.

    November 27, 2025
  • MILLION 789.500,000 ZA KABIDHIWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU CHUNYA.

    November 21, 2025
  • WAJUMBE WA BARAZA LA BIASHARA CHUNYA WAMETOA YA MAYONI

    November 20, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA VITUO WAASWA KUWA NA LUGHA NZURI.

    October 27, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.