• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

FYANDOMO “WANAWAKE TUNAAMINI HATUSHINDWI “.

Imewekwa: March 5th, 2024

.Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mbeya Mhe.Suma Fyandomo  amewataka wanawake kujitokeza kuchukua fomu na kugombea nafasi mbalimbali za uongozi KWANI UWEZO wanao na hawashindwi kutekeleza majukumu mbalimbali ya Kifamilia, Kijamii na kitaifa kwa ujumla huku akisistiza kuondoa hofu wakati wa kutina ya kufanya jambo lolote

Kauli hiyo ameitoa leo tarehe 05 Machi 2024 wakati wa maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani  kiwilaya yaliyofanyika katika viwanja vya Msifuni  kijiji cha Ifuma kata ya Lupa katika Halmashauri ya Wilaya ya Chunya ikiwa ni kuadhimisha siku ya wanawake kiwilaya .

“Wanawake niwatie moyo kwenye nafasi zozote zinapojitokeza  msisite, msiogope mnatakiwa kusonga mbele kuwa mstari wa kwanza kwenda kuchukua fomu au kuomba nafasi hizo kwasababu wanawake tunaamini hatushindwi , wanawake ni Jeshi kubwa lakini pia  ni nguzo kubwa ya familia”amesema Mhe. Fyandomo.

Aidha Fyandomo ameongeza kuwa wanawake kuchangamkia fursa mbalimbali zinazojitokeza mbele yao akisema ujasiri ndio iwe nguvu ya kuchangamkia fursa hizo kwani uwezo wanao na wanaweza hata wasipowezeshwa huku akirejerea uwezo wa wanawake kukabili majukumu ya Familia zao pindi wakinababa wa familia wanapokuwa wametelekeza familia zao

“Nitumie jukwaa hili kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hasaani kwa kuuvaa Ujasiri wa hali ya juu kuongoza Royal tour ambayo imezaa matunda, watalii wameongezeka lakini pia imetuingizia fedha za kigeni  ambazo zimesadia katika kukuza uchumi wetu”alisema Fyandomo.

 Akisoma risala kwa Mgeni rasmi katibu wa kamati ya maandalizi ya siku ya Wanawake duniani wilaya ya Chunya Bi Bahati Mwampetele amesema kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya imefanya jitihada mbalimbali katika kuwawezesha wanawake kiuchumi kwa kuwawekea mazingira wezeshi ya biashara , kwendelea kutoa elimu kwa jamii kupinga vitendo vya ukatili , kutoa elimu ya malezi na makuzi ili kuwajengea wanawake  uwezo wa kujiamini.

Maadhimisho ya Siku ya wanawake duniani huadhimishwa  kila mwaka  tarehe 8 Machi  ambapo kwa Wilaya ya Chunya Maadhimisho hayo yamefanyika leo tarehe 05 Machi 2024, yakienda sambamba na ugawaji wa vifaa mbalimbali kama vile viti mwendo kwa watoto wenye ulemavu, vifaa vya usafi kituo cha Afya cha Lupatingatinga, fedha pamoja na vitu vingine kwa wahitaji

Mhe.Suma Fyandomo  alieshika maiki Mbunge viti Maalum akizungumza neno baada ya kukabidhi viti mwendo kwa watoto wenye ulemavu wakati wa maadhimisho ya sikuya wanawake duniani yaliyoadhimisha kiwilaya katika kata ya Lupa kijiji cha Ifuma.

Wanachama wa TALGWU  wakiwa wamebeba baadhi ya vifaa vya usafi kwaajili ya kukabidhi katika kituo cha Afya cha Lupatingatinga  ikiwa ni sehemu ya vitu vilivyofanyika katika siku ya maadhimisho ya siku ya Wanawake duniani yaliyofanyika kiwilaya katika kata ya Lupa

Mhe. Fyandomo Mbunge viti maalum Mkoa wa Mbeya  aliye vaa gauni lenye rangi ya blue akiwa kwenye picha ya pamoja na wanawake walipotembelea kituo cha Afya cha Lupatinatinga kwaajili ya kuwaona Wagonjwa nakugawa vifaa vya Usafi

Mhe.Masache Kasake Mbunge wa jimbo la Lupa akicheza pamoja na wanawake wakati  wa sherehe za maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliyofanyika kiwilaya katika kata ya Lupa kijiji cha Ifuma.

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.