• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

ELIMU YA LISHE NI SUALA MTAMBUKA

Imewekwa: July 20th, 2023

John  Felix Maholani  mwenyekiti katika kikao cha kamati ya lishe akimwakilisha mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Chunya  amemtaka Kaimu Afisa elimu awali na msingi ndugu  John Daniel Gwimile  kuhakikisha wanakuwa na takwimu sahihi zinazoonyesha ni watoto wangapi wanapata chukula cha mchana shuleni na wangapi hawapati chakula shuleni  ikiwa ni utaratibu wa kuhakikisha watoto  wote wanapata chakula cha mchana shuleni .


Ametoa kauli hiyo julai 19/07/2023 wakati wa kikao cha kamati ya lishe  kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa halimashauri  ya wilaya ya  Chunya ambacho hufanyika kila robo mwaka  kwaajili ya kutoa tathimini ya hali ya lishe kiwilaya.


‘’Kaimu afisa elimu awali na msingi mjitahidi kuhakikisha mnapata takwimu sahihi zinazoonyesha idadi ya wanafunzi wanaochangia na kupata chakula shuleni na idadi kamili ya wanafunzi ambao hawachangii na hawapati chakula cha mchana shuleni’’


Akisoma taarifa ya tathimini ya lishe ya robo mwaka ya kuanzia mwezi april hadi juni kaimu Afisa Lishe wilaya ya Chunya Ndugu Witness Kisukulu  amesema idara ya afya inawajibu wa kuhakikisha jamii inatumia chumvi zenye madini joto kwa kupima  chumvi hzo ili kuzuia ugonjwa wa goita ,ameongeza kuwa kumekua na changamoto ya baadhi ya wanafunzi kutokula  chakula cha mchana shuleni kutokana na baadhi ya wazazi kuto changia  mchango wa chakula utakao mwezesha mtoto kupata chakula cha mchana anapokuwa shuleni .


Kaimu Afisa maendeleo ya jamii  Ndugu Ester Kondobole  amesema kuwa elimu ya lishe imekuwa ikitolewa katika vikundi mbalimbali, wakina mama wajawazito na  wanaonyonyesha lakini pia kwa wanufaika wa mradi wa kunusuru kaya masikini (TASAF) ili kuhakikisha hali ya lishe inaimarika na jamii inaepukana na udumavu


 ‘’Tumeendelea kuwajerngea uwezo wawezeshaji wa wanaotoa elimu kwa wanlengwa wa TASAF juu ya masuala ya lishe ambapo jumla ya wajumbe  26 kutoka katika kata 20 wamepewa mafunzo  ya lishe  , lakini pia tumeendelea kutoa elimu hiyo katika vikundi  vya ujasiriamali  vyenye jumala ya wajumbe


Naye afisa kilimo na mifugo ndugu Paul Lugodisha  amesema kuwa idara  imeendelea kuhamasisha jamii kulima vyakula vya msimu kama  buustani  za mbogamboga kwa msimu huu wa kiangazi lakini sambamba na kutoa elimu juu ya matumizi sahihi ya viwatilifu vya kuhifadhia chakula na kuendeea na ukaguzi wa wanyama ili kumrinda mtumiaji


Lakini pia afisa elimu msingi amesema kuwa wameendelea kuhamasisha ukusanyaji wa chakula wakati wa mavuno shuleni ili kuhakkisha watoto wanapata chakula cha mchana wanapokuwa shuleni kwa kuhamasisha wazazi kuchangia chakula pamoja na  na kuhakikisha kila shule inakuwa na shamba darasa  ili kupunguza uhaba wa chakula shuleni


Kikao hiki ni mwendelezo wa vikao vingine vya tathimni vinavyofanyika kila robo mwaka ikiwa ni kikao cha robo ya nne (4) kinacholenga kutoa tahimini ya hali ya lishe katika halmashauri ya wilaya ya chunya  kikihusisha wataalamu kutoka katika idara mbalimbali  suala la lishe ni swala mtambuka ambapo idara mbalimbali zimetoa tarifa zinazohusu utekelezaji wa  masuala ya lishe ikiwa ni pamoja na idara ya kilimo na mifugo, Idara ya maendeleo ya jamii ,Idara ya elimu msingi, Idara ya elimu sekondari na idara zingine.

kaimu Afisa Lishe wilaya ya Chunya Ndugu Witness Kisukulu akitoa Taarifa Mbele ya Kikao cha Tathimini ya lishe Robo ya nne ya mwaka 2022/2023

Mganga Mkuu wa wilaya ya Chunya ambaye ndiye Katibu wa Kikao cha Lishe Dkt Darson Adrew akizungumza na kufafanua jambo Mbele ya Mwenyekiti na wajumbe wa kikao

Kaimu afisa Maendeleo ya Jamii wilaya ya Chunya Ndugu Ester Kondobole akichangia mjadala katika kikao cha Lishe kwa Robo ya nne 2022/2023

Baadhi ya wajumbe wa kikao cha Lishe wakiendelea na mijadala mbalimbali ili kutathimini maendeleo ya Lishe katika Halmsahuri ya wilaya ya Chunya

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.