• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

DC MAYEKA “HAKIKISHENI MAMBO YOTE YALIYOSALIA MNAYAKAMILISHA”

Imewekwa: October 10th, 2023


Mkuu wa wilaya ya Chunya Mhe. Mayeka  S.Mayeka  ameutaka uongozi wa shule ya msingi  Nyerere ambao ndio wasimamizi wa ujenzi wa shule mpya Mzalendo kuhakikisha mambo madogo madogo yaliyosalia katika ujenzi wa shule ya awali na Msingi Mzalendo yanakamilika  kwa  wakati ili shule ianze mapema kama matarajio ya serikali.


Maagizo hayo ameyatoa tarehe  9/10/2023 wakati alipotembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa shule mpya ya Msingi na awali ya Mzalendo  iliyojengwa katika kitongoji cha Ntankini kata ya Makongolosi ambapo ujenzi wa Shule hiyo umekamilika  yamesalia mambo madogo madogo  ya kukamilisha.


“Hakikisheni mnarekebisha sehemu zote ambozo nimewataka kurekebisha   yakiwemo madawati , madirisha ya vyoo pamoja  na kusawazisha maeneo yote yanayoizunguka shule kabla ya kuanza kwa msimu wa mvua  tafuteni hata wadau watakaoweza kuwasaidia greda kwaajili ya kusawazisha maeneo mbalimbali yanayozunguka shule “ alisema Mhe. Mayeka.


Aidha Mhe. Mayeka ameutaka Uongozi wa shule kuacha kuwalipa Mafundi pesa yote kabla kazi haijakamilika kwani kwa kufanya hivyo inasabaisha baadhi ya  mafundi kuto kufanya kazi zao   kwa ubora  na ufanisi  lakini pia  ameagiza Mafundi ambao bado hawajakamilisha kazi zao  wahakikishe wanazikamilisha  kama ilivyokusudiwa.


Mwalim Mkuu msaidizi  wa Shule ya Msingi Nyerere Ndugu Gwantwa Mwasomola akitoa  maelezo juu ya hatua zilizofikiwa katika ujenzi wa shule ya awali na Msingi Mzalendo amesema  ujenzi umekamilika  yamesalia mambo madogo madogo ambayo mafundi wanaendelea kuyakamilisha  ikiwa ni pamoja na kufunga milango , kupaka rangi baadhi ya sehemu chache zilizosalia  pamoja na madawati.


Mwalim Gwantwa pia amekiri kuyapokea maagizo yote yaliyotolewa na mkuu wa Wilaya na kuahidi  kuyafanyia kazi ikiwa ni pamoja na kumuita fundi aliyetengeneza madawati na kuhakikisha anayarekebisha madawati hayo  kwa viwango vinavyotakiwa kulingana na muongozo aliopewa.


‘’Maagizo yote na maelekezo tumeyapokea na tutayafanyia kazi kwani Mafundi wetu wote wapo  tutahakikisha wanakamilisha kazi zao  lakini pia kwa maeneo yanayohitaji marekebisho tutayarekebisha kama ambavyo tumepokea maelekezo”  alisema Gwantwa


Shule ya awali  na  Msingi Mzalendo  ni miongoni mwa shule mpya zilizojengwa   katika halmashauri ya Wilaya ya Chunya kupitia mradi wa BOOST  kwa lengo la kuboresha sekta ya  Elimu  Nchini , shule hii inatarajiwa kuhudumia watoto wanaotaka maeneo mbalimbali katika kata ya Makongolosi.

Mkuu wa wilaya ya Chunya akiendelea na ukaguzi wa ujenzi wa shule Mpya ya Msingi na awali inayoyojengwa Kata ya Makongolosi Chunya

Mkuu wa Wilaya Mhe Mayeka akikagua madawati yaliyowekwa ndani ya Madarasa ya shule ya Msingi Mpya inayojengwa Kata ya Makongolosi

Mkuu wa wilaya ya Chunya akikagua vyoo vinavyojengwa kwenye shule ya Msingi mPya inayojengwa kata ya Makongolosi

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.