• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

DC Mayeka awataka wakazi Chunya kushiriki kikamilifu zoezi la Anuani za Makazi

Imewekwa: April 22nd, 2022

MKUU wa Wilaya ya Chunya Mh Mayeka Simon Mayeka ametoa wito kwa wakazi wote wa Wilaya hiyo kuhakikisha wanashiriki kikamilifu katika zoezi la ubainishaji wa barabara za Mitaa.

Mayeka ameyasema hayo wakati wa zoezi la ubainishaji wa barabara za MitaaAprili 21, 2022 kwa kuweka vibao vya maelekezo katika barabara ya Mapogoro.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa uwekaji wa vibao vya maelezo ya mitaa na namba kwenye nyumba, Mh.Mayeka amesema uzinduzi wa barabara ya Mtaa wa Mapogoro katika Wilaya ya Chunya unawakilisha mitaa yote ya Wilaya hiyo, akibainisha kuwa mfumo wa Anuani za Makazi utasaidia kurahisisha upatikanaji wahuduma mbalimbali za kijamii.

“Awaliyayote niwapongeze kwa zoezi hili,tumeanza kuweka vibao vinavyoonesha majina ya mitaa zoezi hili litakuwa endelevu kwa wilaya nzima, barabara zetu zote zitawekewa vibao vya utambulisho” amesemaMhMayeka.

Aidha Mayeka amekemea vikali wananchi ambao wataku wananiaovu ya kutakakung’oa vibao hivyo kwa manufaa yao wenyewe.

“Vibao hivi nikwamanufaa ya wananchi wote, kuna wananchi wachache wabinafsi ambao wao wanaangalia faida yao, watataka kung’oa vibao hivi na kwenda kuuza kwenye vyuma chakavu ,niwaombe sana hasa wale wanaonunua vyuma chakavu ukinunua kibao cha ainahii utakuwa umeukaribisha umaskini,” alisema Mh Mayeka

“Niwaombe sana tuhimizane ,lakini zaidi tuvitunze na wote tuwe walinzi kwani faida ni ya kwetu sote, barabara hii ni miongoni mwa barabara ambazo leo tunaanza kuziwekea vibao vya utambulisho.”Aliongeza Mh Mayeka.

Muonekano wa Kibao cha Barabara ya Mapogoro kilicho wekwa na Mh Mayeka Simon Mayeka Mkuu wa Wilaya ya Chunya wakati wa Uzinduzi wa  Barabara za Mitaa 

Mkuu wa Wiaya ya Chunya Mh Mayeka Simon Mayeka watatu kutokea Kushoto Akiwa sambamba na DAS wa Wilaya ya Chunya Mh Michombero wapili kutoka Kushoto, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Chunya Ndg Tamimm Kambona mwenye Shati Jeupe na Afisa Aridhi wa Halmashauri ya wilaya ya chunya Sundy Mwakalebela wa kwanza kutoka kushoto wakiwa kwenye Uzinduzi wa Uwekaji wa Vibao vya Maelekezo kwenye barabara za Mitaa.

Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mh Mayeka Simon Myeka Akiwa Ameshika kibao cha Mfanyo cha Namba ya Nyumba Wakati wa Uzinduzi wa uwekaji na Ubainishaji wa vibao vya Maelekezo vya Nyumba na barabara za Mitaa

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.