• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

DC MAYEKA AFUNGA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA 'MGAMBO'

Imewekwa: November 19th, 2022

Mkuu wa wilaya ya Chunya Mhe. Mayeka S. Mayeka amefunga mafunzo ya Jeshi la Akiba “Mgambo” wilaya ya Chunya ambapo jumla ya wahitimu 78 wamefuzu mafunzo hayo yaliyodumu kwa muda wa miezi mine

Sherehe za kufunga mafunzo hayo zimefanyika leo Ijumaa Novemba 18, 2022 katika viwanja vya kijiji cha Lupatingatinga.

Akizungumza katika sherehe hizo, Mayeka amewataka wahitimu wa mafunzo hayo kutumia vyema mafunzo waliyoyapata huku akiwaasa kufanya shughuli za maendeleo ili kujiinua kiuchumi.


 Mayeka amewataka wahitimu hao kuunda vikundi vya ujasiriamali ili serikali iweze kuwapatia mikopo ili iwasaidie kujikwamua kiuchumi.

 

Mikopo ipo na mkurugenzi analazimika kuitoa, kutoa mikopo ni lazima cha msingi waombaji wawe kwenye utaratibu na nyinyi tengenezeni utaratibu mzuri ili muweze kukopesheka.

 

Mayeka amesema kuwa anaimani mafunnzo hayo yamewajengea ukakamavu  ujasiri na kujiamin kwani kwa sasa wahitimu watakuwa tofauti na ambavyo walikuwa hawajapatiwa mafunzo hayo.

 

“Hamja fundishwa mafunzo haya kwenda kuwatesa raia kuwaonyesha nyinyi mnajua kareti, hawa raia kaziyenu kubwa ni kuwalinda na kuwasaidia ili waweze kupate haki”  

 

Katika hatua nyingine Mkuu wa wilaya huyo amezitaka kampuni zote za ulinzi ndani ya wilaya ya chunya  kutumia walinzi waliopitia mafunzo ya mgambo

 

“Asiajiriwe mlinzi yeyote kama hajapitia mafunzo ya Mgambo, nimarufuku makampuni ya ulinzi kuwa na walinzi wasiokuwa na mafunzo ya mgambo”. Dc Mayeka alisisitiza 

 

Aidha Mayeka amemtaka Mkuu wa polisi wilaya ya Chunya {OCD} kufuatilia na kuhakiki malindo yote ya binafsi na yasiyokuwa ya binafsi sambamba na makampuni yote ya ulizi, hairuhusiwi kuajiri mlinzi kama hajapitia mafunzo ya mgambo.

 

 Wahitimu wa mafunzo ya Mgambo wakisubiri kukaguliwa na Mkuu wa wilaya ya Chunya

Mkuu wa wilaya ya Chunya Mh. Mayeka S. Mayeka akikagua gwaride

Wahitimu wakitembea kwa Mwendo wa pole pole

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.