• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Chunya District Council
Chunya District Council

jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Chunya

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • muundo wa Taasisi
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Idara
      • Utumishim na Utawala
      • Mipango,ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Tehama
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Utawala, Mipango
      • Afya, Elimu, Maji
      • Maadili
      • Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao
      • Mwenyekiti kuonana na Wananchi
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ambayo haijakamilika
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu wa kufuata
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu za maombi
  • kituo cha habari
    • taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba mbali mbali
    • Maktaba ya picha
    • matukio mbali mbali
    • Habari

DC BATENGA “NATAKA BIASHARA YA UVUNAJI WA MKAA IFE”

Imewekwa: December 23rd, 2023

Mkuu wa wilaya ya Chunya Mrakibu mwandamizi wa Uhamiaji  Mhe.Mbaraka Alhaji Batenga amewataka wananchi wa wilaya ya Chunya kusitisha mara moja biashara ya Mkaa kwani inachangia kwa kiasi kikubwa uharibifu wa mazingira na kusababisha ukame hivyo  ametaka  kuacha biashara hiyo kwa maslahi ya kizazi cha sasa na chakizazi cha  badaye.

Kauli hiyo ameitoa leo Desemba 23/2023 alipofanya ziara ya kutembelea na kukagua eneo alilopewa mwekezaji Long pin Tanzania lililopo kata ya Nkung’ungu  eneo ambalo mwekezaji anaetaka kuendesha shughuli za kilimo cha zao la Soya.

“Nataka biashara ya uvunaji wa mkaa ife mimi sipendi biashara ya mkaa kwasababu inaharibu mazingira, hii mvua mnayoiona inanyesha ni kwasababu ya hii miti manayoiona kwahiyo anzeni kujipanga kwa biashara nyingine na si biashara ya mkaa” alisema Mhe. Batenga.

Aidha amewataka kuhakikisha wanazuia ukataji wa miti hovyo na kutaka kukamatwa na kuchukuliwa hatua watu wote watakaojihusisha na ukataji wa miti bila kibali huku akiwashauri wananchi wa wilaya ya Chunya kuangalia shughuli nyingine za  kufanya  ambazo ni rafiki kwa  mazingira  ikiwa ni pamoja na kuvuna asali badala ya kukata miti kwaajili ya kuchoma mkaa.

Awali akitoa salamu katibu Tawala Wilaya ya Chunya Ndugu Anakleth Michombero amewapongeza viongozi wa Nkung’ungu kwa kusimamia vizuri fedha zinazoletwa tutekeleza miradi   mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa ndani ya kata hiyo

Naye afisa kilimo  Wilaya ya Chunya ndugu Cuthbert Mwinuka amesema kuwa  kupitia  uwekezaji wa Long pin Tanzania wananchi wa Nkung’ungu watanufaika  na uwekezaji huo ikiwa ni pamoja na kujifunza  kilimo cha Soya kibiashara,  miundo mbinu ya umeme na barabara ya kutoka Lupa mbaka Nkung’ungu

Akitoa kero kwa Mkuu wa Wilaya kwa niaba ya  wana kijiji wenzake wa  Nkung’ungu ndugu Menison Yohana mwananchi wa kijiji cha Nkung’ungu amesema kuwa miongoni mwa changamoto zinazowakabili  ni pamoja na migogoro ya mipaka kati ya kijiji  cha Nkung’ungu na kijiji cha Ngwala ambapo wameomba kero hiyo iweze kutafutiwa ufumbuzi mapema.

 Katika ziara yake Mhe. Batenga  ametembelea miradi mbalimbali inayotekelezwa kwa nguvu za wananchi katika kijiji cha Nkung’ungu ikiwa ni pamoja na jengo la ofisi ya kijiji, Nyumba za walimu, ujenzi wa vyoo vya wanafunzi,Pamoja na Mradi wa ujenzi wa shule ya wasichana inayojulikana kama  Mayeka sekondari iliyyopo kata ya Lupa.

Mkuu wa wilaya ya Chunya Mhe Mbaraka Alhaji Batenga akitoa maelekezo kwa viongozi alioambatana nao wakati wa kukagua eneo alilopewa muwekezaji ili kuanza kilimo cha Soya

Mkuu wa wilaya ya Chunya Mhe Batenga akikagua ujenzi unaoendelea wa miundombinu ya Shule ya sekondari ya wasichana Mayeka inayojengwa katika kata ya Lupa

Muonekano wa Shule ya sekondari ya wasichana Mayeka inayojengwa kata ya Lupa tayari kupokea wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka 2024

Baadhi ya wananchi na viongozi waliojitokeza kumsikiliza Mkuu wa wilaya ya Chunya Mhe Batenga aliptembelea kijiji cha Nkung'ungu mapema leo

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA JIMBO LA LUPA December 21, 2024
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili Kazi za MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 July 17, 2022
  • Orodha ya walioitwa kwenye usaili Maombi ya kazi za sensa_Chunya_2022 July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI 2022, HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA July 22, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • ZINGATIENI WELEDI NA UFANISI KAMA MLIVYOAMINIWA

    April 29, 2025
  • MAAFISA HABARI NA WAANDISHI WA HABARI KUNOLEWA ZAIDI JUU YA AFYA YA AKILI.

    April 16, 2025
  • DC CHUNYA NA SONGWE WAPELEKA OMBI MOJA KWA WAZIRI.

    April 04, 2025
  • TARAFA YA KIPEMBAWE CHUNYA YAJIDHATITI KUWATUMIKIA WANANCHI.

    March 21, 2025
  • Zaidi

Video

BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU
video zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • HATUA ZA KUANZISHA BIASHARA
  • MIONGOZO MBALIMBALI
  • FOMU ZA HUDUMA MBALIMBALI

Tovuti Nyingine Tunazohusiana

  • OR-TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • majukumu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao na Sheria ya Serikali Mtandao kwa ujumla
  • MKOA WA MBEYA
  • WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  • WAKALA WA SERIKALI MTANDAO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

wasiliana nasi

    Itigi Road

    sanduku la posta: P.O box 73 Chunya

    simu ya mezani: 025 2520121

    simu ya mkononi: 025 2520121

    Barua pepe: ded@chunyadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera binafsi
    • kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma

Copyright ©2017 Chunya District Council . All rights reserved.